Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Jaman nimekosa raha ndugu wa baba wanadai eti mama yng mchawi anamloga baba hadi amekuwa mlevi mbwa pia kama anachanganyikiwa wameniita eti wanipe dawa ili wanipe dawa waliyopewa na waganga wao ili nimuwekee baba kwenye chakula nimeshindwa niwajibu nini nimeamua kumuomba ushauri mpenzi wangu hadi sasa hapokei simu yng tangu nimuelezee tatizo hili jumlisha na ugomvi uliopo nyumbani najikuta nashindwa hadi kusoma.
Nimeombwa nimshauri huyu best wng mi nimeshindwa nimemuomba anipe muda nitulie (anasoma Environment engeneer mwaka 3 pale Ardhi) Hajui pa kuelekea,pia anachanganywa na situation ya mama yake kuambiwa mchawi na pia response ya mpenzi wake.TUMSAIDIE MAWAZO JAMAN.
Nimeombwa nimshauri huyu best wng mi nimeshindwa nimemuomba anipe muda nitulie (anasoma Environment engeneer mwaka 3 pale Ardhi) Hajui pa kuelekea,pia anachanganywa na situation ya mama yake kuambiwa mchawi na pia response ya mpenzi wake.TUMSAIDIE MAWAZO JAMAN.