jaman tumsaidieni huyu amekata tamaa ya kuishi kabisa

jaman tumsaidieni huyu amekata tamaa ya kuishi kabisa

Billie

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
13,588
Reaction score
22,752
Jaman nimekosa raha ndugu wa baba wanadai eti mama yng mchawi anamloga baba hadi amekuwa mlevi mbwa pia kama anachanganyikiwa wameniita eti wanipe dawa ili wanipe dawa waliyopewa na waganga wao ili nimuwekee baba kwenye chakula nimeshindwa niwajibu nini nimeamua kumuomba ushauri mpenzi wangu hadi sasa hapokei simu yng tangu nimuelezee tatizo hili jumlisha na ugomvi uliopo nyumbani najikuta nashindwa hadi kusoma.
Nimeombwa nimshauri huyu best wng mi nimeshindwa nimemuomba anipe muda nitulie (anasoma Environment engeneer mwaka 3 pale Ardhi) Hajui pa kuelekea,pia anachanganywa na situation ya mama yake kuambiwa mchawi na pia response ya mpenzi wake.TUMSAIDIE MAWAZO JAMAN.
 
Amweke mpenzi mbali sana kwanza , ili a'solve mambo ya familia yake!

Hicho tayari ni kipimo cah upendo wao, kwahiyo wanadanganyana tayri hao!..hakuna penzi hapo!

Hiyo dawa ya bila ridhaa ya mtu itafanyaje kazi?..kama ni sumu na mzee akafa mtajibu nini?
 
Ni serious jaman pia ni jiran yangu tunakaa mtaa mmoja mama yake ni msambaa baba ni mhehe Amenieleza kwa kirefu sana kuhusiana na tatizo lake mi nimelifupisha tu hivyo kama utakuwa una swali niulize na kama umeelewa tatizo tafadhali toa ushauri wako.ASANTEN
 
Amweke mpenzi mbali sana kwanza , ili a'solve mambo ya familia yake!

Hicho tayari ni kipimo cah upendo wao, kwahiyo wanadanganyana tayri hao!..hakuna penzi hapo!

Hiyo dawa ya bila ridhaa ya mtu itafanyaje kazi?..kama ni sumu na mzee akafa mtajibu nini?

Kingine kinachomchanganya ni hilo swala kuikataa hiyo dawa yao watamchukuliaje au mshauri safe way ya kuikataa hiyo dawa.
 
Wanampa dawa ya kuzuia uchawi au dawa ya kuacha pombe?

Kama ni dawa ya kuzuia uchawi wa huyo mke wake, SIAMINI katika dawa za kuzuia uchawi zaidi ya Imani yangu

Kama ni dawa ya kumsaidia kuacha pombe, nimeshasikia ila sijawahi ona mtu aliyekunywa.
Ila kuhusu Unywaji wa pombe kupita kiasi "alcoholism" kuna wataalam wa masuala hayo
Ni ugonjwa kama magonjwa mengine bila msaada wa kitabibu ni ngumu kuacha.
Mshauri cha kwanza, kama ni mkristu akaone mchungaji/padri

Kingine kinachomchanganya ni hilo swala kuikataa hiyo dawa yao watamchukuliaje au mshauri safe way ya kuikataa hiyo dawa.
 
Be consistent maana unajichanganya, mwanzoni umeandika kama vile we ndo ulokumbwa na swahibu hili ila baadaye ukasema ni rafiki yako, hao ndugu walimwona wapi anafanya uchawi? Beware of those who tell you about others!!!!!!!!!!!
 
Be consistent maana unajichanganya, mwanzoni umeandika kama vile we ndo ulokumbwa na swahibu hili ila baadaye ukasema ni rafiki yako, hao ndugu walimwona wapi anafanya uchawi? Beware of those who tell you about others!!!!!!!!!!!

Ni hivi hayo maelezo ndo alivyokuwa ananielezea na kuhusu uchawi ni kuwa ndugu zake na baba yake msichana walivyoona mabadiliko ya ndugu yao kama anachanganyikiwa wameenda kwa waganga na waganga wanasema eti analogwa na mkewe.
 
yaan mwambie asikubali kabisa kuchukua dawa za ndugu zake,anachotakiwa kufanya n kufuat iman yake,kama muislam aite sheikh afanyiwe dua mfululizo atapata majibu 2,na pia asijethubut kumchukia mama yake,maan anaweza kukuta ni chuki 2 za mawifi na wakwe ndio zinawasumbua ndugu zake..
 
yaan mwambie asikubali kabisa kuchukua dawa za ndugu zake,anachotakiwa kufanya n kufuat iman yake,kama muislam aite sheikh afanyiwe dua mfululizo atapata majibu 2,na pia asijethubut kumchukia mama yake,maan anaweza kukuta ni chuki 2 za mawifi na wakwe ndio zinawasumbua ndugu zake..

aikatae hiyo dawa kwa technique gani?
 
Pole sana, pia achana na hizo Imani za kishirikina. Nilishawahi kupata case Kama hiyo ambayo ilikuwa na dalili nyingi ningeweza kuamini kweli. Nilipiga chini na kusimama kwa Imani yangu na Mungu.... Ni miaka mingi na bado nadunda.

Ushauri wangu Kwako ' wache wafu wazike wafu wao'
 
Hapo ndo utagundua ni jinsi gani sisi ni kizazi cha nyoka.Haimithiriki kwa mtu kuwa mgonjwa au kuwa mlevi halafu wanajamii wanaanza kushikana ulozi badala ya kushikana akili juu ya nini kifanyike ili muathirika arudie khali yake ya kawaida.
Ushauri wangu:kwanza, huyo baba yetu anatakiwa apelekwe hospitalini kwa uchunguzi zaidi.Pili, aondoe fikra juu ya mama yake kuwa mchawi.Tatu,pamoja na kwamba huyo mpenzi wake hamfai, simshauri kuachana nae kwa mda huu kwani anaweza kuongeza tatizo jingine.Anachotakiwa kukifanya kwa sasa ni kujitenga nae kwa mda ili ashughulikie suala la baba yetu.Plz,asikate tamaa ktk masomo.
 
Hapo ndo utagundua ni jinsi gani sisi ni kizazi cha nyoka.Haimithiriki kwa mtu kuwa mgonjwa au kuwa mlevi halafu wanajamii wanaanza kushikana ulozi badala ya kushikana akili juu ya nini kifanyike ili muathirika arudie khali yake ya kawaida.
Ushauri wangu:kwanza, huyo baba yetu anatakiwa apelekwe hospitalini kwa uchunguzi zaidi.Pili, aondoe fikra juu ya mama yake kuwa mchawi.Tatu,pamoja na kwamba huyo mpenzi wake hamfai, simshauri kuachana nae kwa mda huu kwani anaweza kuongeza tatizo jingine.Anachotakiwa kukifanya kwa sasa ni kujitenga nae kwa mda ili ashughulikie suala la baba yetu.Plz,asikate tamaa ktk masomo.

Asante kwa ushauri wako mkuu Mungu akubariki.
 
Jaman nimekosa raha ndugu wa baba wanadai eti mama yng mchawi anamloga baba hadi amekuwa mlevi mbwa pia kama anachanganyikiwa wameniita eti wanipe dawa ili wanipe dawa waliyopewa na waganga wao ili nimuwekee baba kwenye chakula nimeshindwa niwajibu nini nimeamua kumuomba ushauri mpenzi wangu hadi sasa hapokei simu yng tangu nimuelezee tatizo hili jumlisha na ugomvi uliopo nyumbani najikuta nashindwa hadi kusoma.
Nimeombwa nimshauri huyu best wng mi nimeshindwa nimemuomba anipe muda nitulie (anasoma Environment engeneer mwaka 3 pale Ardhi) Hajui pa kuelekea,pia anachanganywa na situation ya mama yake kuambiwa mchawi na pia response ya mpenzi wake.TUMSAIDIE MAWAZO JAMAN.

The only solution is to give your life to Jesus christ,biblia inasema njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha asema Bwana wa majeshi,wakati mwingine tunajivisha mizigo isiyo yetu hao wanaokuita ukanywe dawa ndio wachawi wala si mama yako,kabidhi maisha yako kwa Yesu na yote hayo yatakuwa si kitu.Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom