naomba kuulizia na kujuzwa juu ya jambo hili la wanafunzi wa kidato cha nne wa mwaka 2012 ambao wamepata zero
kwa kipindi cha matokeo yalivyotoka nikasikia kuna tetesi za kwamba watatakiwa kurudia mtihan..
Ni lipi tamko rasmi la waziri wa elimu...?
Naomba kujuzwa..
kwa kipindi cha matokeo yalivyotoka nikasikia kuna tetesi za kwamba watatakiwa kurudia mtihan..
Ni lipi tamko rasmi la waziri wa elimu...?
Naomba kujuzwa..