Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Nyinyi wamiliki wa SUBARU acheni sifa mkae mkijua mwendokasi unaua. Juzi naenda zangu Iringa kuna jamaa wanne wanaendesha subaru zinafanana aisee wanakimbia at speed of light na magari yao yanaunguruma kama Cessna inataka kupaa. Nyie jamaa mjue hizi barabara sio rafiki kama mnavyodhani mtakuja mpate ajali, mfe, tuwazike then tule makande.
Shauri zenu.
Shauri zenu.