Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Kabisa chaliiiSiku hizi ni kuimba matusi tu ni aibu sana hata kusikiliza.
Na kusifia pombe.Siku hizi ni kuimba matusi tu ni aibu sana hata kusikiliza.
Mziki wa siku hizi ni ushetani tu kuhamasisha ngono, mapenzi kinyume na maumbile, pombe na uchafu wa kila aina.Na kusifia pombe.
Yaani kama amapiano na singeli ndio kabisaa hovyo.Mziki wa siku hizi ni ushetani tu kuhamasisha ngono, mapenzi kinyume na maumbile, pombe na uchafu wa kila aina.
Ona sasa mambo yao. Kweli ukishabikia ujinga huo lazima uonekane mwehuYaani kama amapiano na singeli ndio kabisaa hovyo.
Eti "masela nikirudiana na ex wangu nampakia mkongo" mara sijui nitamwendea kwa mpalange[emoji57][emoji57].
Mimi sitaki kuzipiga hata nyumbani kwangu.
Wakienda Marekani watu wakizigomea wanaanza ku maindi na machozi juuu..Rakata Rekete rikiti rukutu...kwikwikwiii
Ndio nyimbo za siku hizi
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa.. Hii singeli enzi zetu ilikuwa ikiitwa chakacha na baadae wakawa wanaita mnanda... Kwanza ilikuwa ngoma ya wahuni na wakija kupiga mtaani tegemea kuibiwa ile mbaya...Yaani kama amapiano na singeli ndio kabisaa hovyo.
Eti "masela nikirudiana na ex wangu nampakia mkongo" mara sijui nitamwendea kwa mpalange[emoji57][emoji57].
Mimi sitaki kuzipiga hata nyumbani kwangu.