Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Jamaani enzi zile watu naona tuliinjoy Sana ukilinganisha na mziki wa kizazi kipya. Mfano Leo nilikuwa nimekaa sehemu nakuta DJ ameweka mziki wa bendi ya Sasa Kamanyola wakiwa na Maestro King kikki wimbo unaitwa tutoke wore duuu nimekumbuka mbali Sana nikiwa Kijiji cha mbwewe Handeni Tanga.
Kulikuwa mzee mmoja akiwa santul player changer yaani duu tulifaidi Sana kuliko matusi. Sijui nyie wa kizazi Cha Sasa Kama mnafaidi kiiiruuuuuuuuuu.
Kulikuwa mzee mmoja akiwa santul player changer yaani duu tulifaidi Sana kuliko matusi. Sijui nyie wa kizazi Cha Sasa Kama mnafaidi kiiiruuuuuuuuuu.