SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Huku mmenishauri nitumie dish la DSTV, kwakweli mwana kafurahia sana nasi tumefurahia . Inavipindi vya kidhungu dhungu, unajiona wewe ni wewe tu kati ya majirani wenye azam na startimes.
Startimes ni kama simu za techno au itel , na azam kama infinix , na vitu visivyo na mvuto .
ILa dstv ni hera yako tu ufurahie mipira , series za njee , za afrika na zauarabuni yaani dstv unapata kila kitu duniani .
Meaning DSTV ni inaonyesha dunia nzima hadi burudani .
Startimes ni kama simu za techno au itel , na azam kama infinix , na vitu visivyo na mvuto .
ILa dstv ni hera yako tu ufurahie mipira , series za njee , za afrika na zauarabuni yaani dstv unapata kila kitu duniani .
Meaning DSTV ni inaonyesha dunia nzima hadi burudani .