Mycojkhan
JF-Expert Member
- Jul 12, 2024
- 803
- 1,498
Wasukuma wote peponi🙌😃Vibaya hivyo mdau! Kwani Usukuma umekuwa kiroja bongo?!
Tuko vizuri ngosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma wote peponi🙌😃Vibaya hivyo mdau! Kwani Usukuma umekuwa kiroja bongo?!
Tuko vizuri ngosha!
Hello baby candy tupe na kionjo Cha TV iliyopo ukutani ni inch ngapi na brand ipi tukupongeze kibabeHuku mmenishauri nitumie dish la DSTV, kwakweli mwana kafurahia sana nasi tumefurahia . Inavipindi vya kidhungu dhungu, unajiona wewe ni wewe tu kati ya majirani wenye azam na startimes.
Startimes ni kama simu za techno au itel , na azam kama infinix , na vitu visivyo na mvuto .
ILa dstv ni hera yako tu ufurahie mipira , series za njee , za afrika na zauarabuni yaani dstv unapata kila kitu duniani .
Meaning DSTV ni inaonyesha dunia nzima hadi burudani .
Ya kawaida bado sina home nikipata nitakutag ni ya kawaida tuHello baby candy tupe na kionjo Cha TV iliyopo ukutani ni inch ngapi na brand ipi tukupongeze kibabe