Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

the power

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
407
Reaction score
799
Mimi mtanisamehe jamami, ngoja niseme tu najua mtanishambulia potelea mbali

Leo kwenye junction, taa za green ziliwaka kuturuhusu, nyuma kuna magari zaidi ya 30, jamaa mbele yetu katangulia , bara bara iko bussy ila dereva huyo wa gari la mbele akawa anaenda very very slow kama vile yuko peke yake barabara nzima, anaendesha very very slow yaani mpaka trafiki akamkimbilia na kumkalipia "wewe vipi endesha ondoa gari hapo". Na ndipo hapohapo nikajiuliza maswali mengi kuhusu wabongo tulivyo very very very slow almost kwenye kila kitu

Kwenye kutembea tuko very very slow, tunatembea goigoi kama wagonjwa, ebu angalia watu wakiwa barabarani au mitaani. Kwenye kula tunakula very very slow, utakuta mtu kula tu anachukua saa moja na nusu, very very slow.

Kwenye kufikiri , tunafikiri very very slow, yaani hapa utafikiri ndipo tulipozikiwa, yaani tuko very very slow, sijui ndio uswahili wetu, yaani kitu kidogo tu kinachukua mwaka kufanya maamuzi, very very slow. Sasa ukija kwenye kuongea na kujenga hoja, yaani very very slow, tena ikiwa kwa lugha ya kiingereza, yaani utakuwa umeua kabisa, kwani jamaa atatoa tafsiri ya kilugha, kwenda kiswahili then kiingereza, wakati masomo yote tumejifunza kwa kiingereza kuanzia sekondari mpaka chuo kikuu

Sasa nisije kuharibu wakati wa kufanya kazi yeyote ile, utamchukia Mbongo, yaani kitu cha nusu saa kitafanywa masaa, very very slow, mikono goigoi, mwili goigoi. Basi chelewa kumaliza lakini product iwe safiiii, yaani hapo ndipo utamkimbia mbongo, anachukua masaaa yote na quality ya product mbaya mbaya kabisa.

Ebu tujifunze kwa wenzetu, veryvery sharp, angalia tembea yao barabarani, wako faster kama wanakimbia,angalia wachina,wajapani, huko kwao , cheki kazini walivyosharp, checki kwenye kuongea na kusolve issues, not only quick but sharp, kwenye uendeshaji barabarani , ni faster, kazikazi mbiombio

Mimi nafikiri uzubafu wetu na uslow wetu umesababishwa na uwezo wetu wa akili kuwa slow as a result kila kitu chetu kinakuwa slow hilo ni wazo langu tu. Na kulitatua tuanza kwa kucharge brains zetu, tuzichachamue kwanza kuanzia kwenye curriculum zetu , masomo kwa vitendo na kuhimiza culture ya kuwa faster na umuhimu wa quality works n.k. Angalizo inawezekana sio wote ila asilimia kubwa tuko hivyo. Je wewe una maoni gani kuhusu uslow wetu.
 
Mfumo wa maisha na malezi ndo chanzo kikuu.
Umaskini na kukosa ajira vinachangia sasa kapuku awe sharp kwa misingi ipi?
Jamani, do yaani tumefikia kukata tamaa.Lakini kweli maisha yamekugonga na ukichanganya na njaa basi akili na mwili mzima unadumaa ,hakuna haja ya kuwa sharp. kingine ufanye haraka,uchelewa hakuna motivation yeyote,sasa kwa nini niharakishe sasa
 
Kamanda umesema vyema...
Hii kitu sijui tumlaumu nani? Huwa nikitoka mwaka jana wakati nafanya kazi huko kuelekea town inahuzunisha kijana wa ifm.. au chuo cha utumishi na suti yake ndani ya jua kali..
Wanatembea huku wameshikana mikono hawajui kwamba wanablock mass ya watu.
Ukiwashtua vipi nyinyi wanakuletea swaga za chuga(ushambani)
 
Mimi mtanisamehe jamami, ngoja niseme tu najua mtanishambulia potelea mbali

Leo kwenye junction, taa za green ziliwaka kuturuhusu, nyuma kuna magari zaidi ya 30, jamaa mbele yetu katangulia , bara bara iko bussy ila dereva huyo wa gari la mbele akawa anaenda very very slow kama vile yuko peke yake barabara nzima,
Mkuu nitaruka hivyo vipengele vya barabarani na blah blah nyingine.

Unapoongelea kwenye kazi je upo field gani na umefanya comparison gani kati ya watanzania na mataifa mengine ambayo upo na experience?
 
Pole sana mkuu humu barabarani ukiwa na hasira sana utajikuta kila siku unatandika watu makofi, binafsi siku hizi nimekuwa mvivu sana kuendesha kama nina haraka mara nyingi huwa narequest bolt ila kama sina haraka mara moja moja huwa napanda daladala, we are very very slow indeed ila kwenye uzinzi, uchawi, utapeli na ufisadi huwa tuko fast kwa spidi ya mwanga
 
Kwenye kuendesha uslow unachangiwa sana na kuchati na kuongea na simu. WaTanzania siku hizi akishaingia kwenye gari ndiyo atakumbuka kupiga simu na kuchati!! Kunafanya maamuzi barabarani yawe very slow!

Itungwe sheria kali juu ya kuendesha na simu kama ilivyo kwa wenzetu Uingereza!! Ukionekana umeshika simu barabarani umekwisha!!
 
Kwenye kuendesha uslow unachangiwa sana na kuchati na kuongea na simu. WaTanzania siku hizi akishaingia kwenye gari ndiyo atakumbuka kupiga simu na kuchati!! Kunafanya maamuzi barabarani yawe very slow!

Itungwe sheria kali juu ya kuendesha na simu kama ilivyo kwa wenzetu Uingereza!! Ukionekana umeshika simu barabarani umekwisha!!
Mkuu wengine either ni ugeni wa kuendesha au uoga wa kuchubua gari lake au la mwenzie, mtu anaogopa kuchomekea kwa sababu ana wasiwasi asije akakwaruzana na mtu akaingia gharama, kwahiyo vile anavyosuasua anajikuta anawaachia tu wale wa pembeni yake wapite kwanza huku akiwachelewesha walioko nyuma yake
 
Green light ikiwaka haupaswi kukimbia kupitia au kuvukw kuna kitu kinaitwa defensive driving, wakati kwako ni green light Kwa mwenzake ni red, kuna baadhi ya dereva ambao wao huwa wanakimbizana na taa, yaani anakimbia ili taa nyekundu imuwakia ameshapita stop line. Sasa ukiwa na wewe ni Mzee WA maharaka ikiwaka green unaingia Kati it's obvious unakutana na Huyo anayetaka kuibit red light.
So yakupaswa walau uache sekunde kadhaa ndo upite.
Kuna watu vimbelembele wanapenda Sana kupiga honi, yaani kabla ata green light haijawaka vizuri tayari anapiga honi ziso namsingi. Hao mm huwa nawapuuza.
Kuhusu Hilo la kutembea slow, huenda pia kunavitu watu wanatafakari wakiwa wanatembea. Japani wametunga sheria ya kuzuia mazungumzo wakati WA asubuhi ukiwa Barabarani au vituko vya public na ni sheria Kali ili kuwafanya watu wawahi makazini, nahisi hiyo sheria ndiyo inawafanya wawe hivyo.
 
Mimi mtanisamehe jamami, ngoja niseme tu najua mtanishambulia potelea mbali

Leo kwenye junction, taa za green ziliwaka kuturuhusu, nyuma kuna magari zaidi ya 30, jamaa mbele yetu katangulia , bara bara iko bussy ila dereva huyo wa gari la mbele akawa anaenda very very slow kama vile yuko peke yake barabara nzima, anaendesha very very slow yaani mpaka trafiki akamkimbilia na kumkalipia "wewe vipi endesha ondoa gari hapo". Na ndipo hapohapo nikajiuliza maswali mengi kuhusu wabongo tulivyo very very very slow almost kwenye kila kitu

Kwenye kutembea tuko very very slow, tunatembea goigoi kama wagonjwa, ebu angalia watu wakiwa barabarani au mitaani. Kwenye kula tunakula very very slow, utakuta mtu kula tu anachukua saa moja na nusu, very very slow.

Kwenye kufikiri , tunafikiri very very slow, yaani hapa utafikiri ndipo tulipozikiwa, yaani tuko very very slow, sijui ndio uswahili wetu, yaani kitu kidogo tu kinachukua mwaka kufanya maamuzi, very very slow. Sasa ukija kwenye kuongea na kujenga hoja, yaani very very slow, tena ikiwa kwa lugha ya kiingereza, yaani utakuwa umeua kabisa, kwani jamaa atatoa tafsiri ya kilugha, kwenda kiswahili then kiingereza, wakati masomo yote tumejifunza kwa kiingereza kuanzia sekondari mpaka chuo kikuu

Sasa nisije kuharibu wakati wa kufanya kazi yeyote ile, utamchukia Mbongo, yaani kitu cha nusu saa kitafanywa masaa, very very slow, mikono goigoi, mwili goigoi. Basi chelewa kumaliza lakini product iwe safiiii, yaani hapo ndipo utamkimbia mbongo, anachukua masaaa yote na quality ya product mbaya mbaya kabisa.

Ebu tujifunze kwa wenzetu, veryvery sharp, angalia tembea yao barabarani, wako faster kama wanakimbia,angalia wachina,wajapani, huko kwao , cheki kazini walivyosharp, checki kwenye kuongea na kusolve issues, not only quick but sharp, kwenye uendeshaji barabarani , ni faster, kazikazi mbiombio

Mimi nafikiri uzubafu wetu na uslow wetu umesababishwa na uwezo wetu wa akili kuwa slow as a result kila kitu chetu kinakuwa slow hilo ni wazo langu tu. Na kulitatua tuanza kwa kucharge brains zetu, tuzichachamue kwanza kuanzia kwenye curriculum zetu , masomo kwa vitendo na kuhimiza culture ya kuwa faster na umuhimu wa quality works n.k. Angalizo inawezekana sio wote ila asilimia kubwa tuko hivyo. Je wewe una maoni gani kuhusu uslow wetu.
Je kitandani!
 
Back
Top Bottom