Jamani biashara hii ya daladala ni pasua kichwa

kaka asante kwa ushauri mzuri, ila ninafanya kazi ya ualimu wa sekondari, labda nipange ratiba yangu upya
Komaa mpe Dereva mkataba na salary halafu mwambie faini zinahusiana na makosa uendeshaji ni yeye Ila faini zinahusiana na ubovu wa gari utalipa wewe..

Kingine Dereva akizengua mwambie rudisha gari nyumbani usioneshe kama gari ndio unaitegemea sana kuendesha maisha..

Cha mwisho lipia vitu vyote vinavyohusiana na hiyo biashara..
 
Naunga mkono 100%. weka urafiki nao nje ya kazi, lakini kwenye Kami lazima glaze kulingana na makubaliano. Mimi niliwanunulia viwanja jambalaya taratibu, hii inamfanya dereva one ni part and parcel ya business, mara zote wanajiona wana deni kwa kuwa pia unajali maendeleo yao. Traffic case inayohusisha gari, mfn refractor, nk. hyo inamhusu tajiri, lakini zenye nature ya uzembe, mfn kuvaa suit, kukatisha route nk. analogous mwenyewe, hata hajisumbui kupiga simu. Mmoja alipigwa faini ya kupakia nje ya kituo, Ana wk anazunguka nayo mfukoni.
 
Gari zako zinapiga route za wapi
 
Hii onaonyesha watu wengi wanaingia kwenye hii biashara bila kujipanga au kutokuwa na maarifa. Ukijipanga kama jamaa hapa anavyoelezea mbona biashara inaenda.
 
Nipm mkuu unipe maujuzi
 
Uko smart sana nimepata kitu
 
Kama huwez kusimamia hiyo daladala uza maana biashara ya daladala ni kuwa makin kwenye usimamiamizi. Mimi nina DCM limenishinda kwa ajili ya usmamizi nakosa muda wa kusimamia kwa sababu ya shughuli zangu hiv sasa liko sokon naliuza
Mkuu hiyo DCM ushauza
 
Everlenk habari yako, nimependa haya maelezo na mimi nataka kuingia kwenye hii biashara, tafadhali naomba unibeep kwenye namba yangu ambayo ni 0753122225 ili tuongee kwa kirefu zaidi. Ubarikiwe.
 
Daaah boss from versity moja kwa moja kumiliki daladala ..hongera sana
Mnawezaje wakubwa au family inasupport nni .
Wengi huku boom likichelewa wiki tu tunalia balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…