Jamani bodi ya mikopo toeni majina;watu kujua hatima yao mapema ni jambo muhimu

Jamani bodi ya mikopo toeni majina;watu kujua hatima yao mapema ni jambo muhimu

alipiga ART na alisoma private since kindergarten na kalamba 100%, sijui ndo kama ile ya mke wa mtoto wa baba maana jamaa kwao kunatisha

duuh hapo pande ilifanya kazi hiyo ndo raha ya pande chezea bongo eeh !! Vp kwa science mambo yameendaje
 
Helsb,helsb,helsb 2ko chini ya matendeko yako twakuomba usitusahau katika ufalme wako,cc si wakosefu bali baba ze2 tuliowaweka madarakani.
 
Back
Top Bottom