IamError_D
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 434
- 95
Nendeni mkapime afya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba msaada kwa wale wataalam wanaojua hizi Condom, zipi ni nzuri kwa matumiz ya binadamu??
siyo kwamba nachepuka!!, ni wasiwasi tu juu ya huyu mke jaman msaada plizzz...!!
Piga house girl kavukavu na zaa nae, nabii Tito atakubariki na kukupa kiroba!naomba msaada kwa wale wataalam wanaojua hizi Condom, zipi ni nzuri kwa matumiz ya binadamu??
siyo kwamba nachepuka!!, ni wasiwasi tu juu ya huyu mke jaman msaada plizzz...!!
ni pm Mimi nikuuzie nna paketi tatu nlizinunua Nairobi hizi ni imara sana!
ni tamu pia ukishatumia unazifua na kuzitunza !
tangu nizinunue huwa natumia paketi moja tu naifua wakati mwingine nampaga dingi akatumie kwenye michepuko kisha ananirudishia nazifua natumia kwa madem zangu!
acha uzinzi uokoke Yesu anakupenda
Tuwekane waz kondom kwa mkeo kweli????
Inategemeana na mwanamke unapanga kufanyanae,zipo za malaya naza wanawake wanaojiheshimu sasa inategemea huyo ni wa ainagani ili tukushauri.