muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kwa uzazi wa mpango mkuu...Tuwekane waz kondom kwa mkeo kweli????
ni pm Mimi nikuuzie nna paketi tatu nlizinunua Nairobi hizi ni imara sana!
ni tamu pia ukishatumia unazifua na kuzitunza !
tangu nizinunue huwa natumia paketi moja tu naifua wakati mwingine nampaga dingi akatumie kwenye michepuko kisha ananirudishia nazifua natumia kwa madem zangu!
watu wengne akili zimewaruka seriously!
naomba msaada kwa wale wataalam wanaojua hizi Condom, zipi ni nzuri kwa matumiz ya binadamu??
siyo kwamba nachepuka!!, ni wasiwasi tu juu ya huyu mke jaman msaada plizzz...!!
Why Not, ni jambo la kawaida sana na ni busara pia. hii jamii tuliyonayo SIO .. uaminifu wa kufikirika ni HATARI SANA.... kwa family nzima
Achana na hili b.w.e.g mambo ya kuongelea ya kimaendeleo yako mengi tu , yeye anatuambia mkewe anachepuka. Kwanini alikwenda kuoa changu wakati wanawake wenye heshma wanazehekea kwa baba zao.ushauri mwingine ni mgumu kuutoa, yaani una wasiwasi na mkeo, solution umeona ni kutumia condom. labda nikuulize utatumia condom kwa huyo mkeo hadi lini? au huo wasi wasi utaumalizaje kwa mkeo? Tatua ishu ya wasiwasi kwa mkeo
Dk happ umemaliza.kabisaa waelekeze.na.cheapest.majeneza yanapatkana.manzese .kwa.mawasiliano.zaidi wanipmusalama pekee kuepukana na mambo haya ni kupiga kavu ..kavu ndio mwisho wa kila kitu
acha uzinzi uokoke Yesu anakupenda
zile zenye vipelepele mkuu jina lake sijuwi kaulizie pharmacy....hata kama unachepuka we uwe huru naniliu ni yako hutumii ya mtu!
hizo zenye vipelevipele zinaitwa ROUGH RIDE.