mr.general
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 989
- 610
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamannjamannjamanWachaaa bhn weeeeeww kitu kinalia taptaptaptap ukichomeka na kutoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamannjamannjamanWachaaa bhn weeeeeww kitu kinalia taptaptaptap ukichomeka na kutoa
Asanteee sanaaaa nashukuruWakati unakula raha, soma hii hapa nikiileta kama nilivyoipata:
UJUMBE KUTOKA HOSPITALI KUU YA TAIFA.
Tafadhali mjulishe mkeo, rafiki au shoga wako, kuhusiana na hili:
Hii ni tahdhari muhimu kutoka wataalamu wa afya [LUTH] kwa wanawake wote wawe watoto wachanga, wasichana, mabinti, wanawake, akina mama; saratani ya kizazi imeenea tafadhali epuka kuosha sehemu zako za siri kwa kutumia sabuni, osha kwa kutumia maji tu, kuna kemikali mbali mbali kwenye sabuni ambazo kiujumla wake ni hatari sana naupo uwezekano zinasababisha saratani ya kizazi, kesi za saratani ya kizazi zimatapakaa katika hospitali nyingi kubwa kwa hiyo tahadhari na ujumbe huu muhimu.
Kama unawaonea huruma wafikishie ujumbe huu ambao pia ni muhimu kwako.
[emoji778] Wasichana 56 wamefariki kwa kutumia (Pedi) Whisper, Stayfree nk.
[emoji778] Usitumie pedi moja kwa kutwa nzima kwa sababu kemikali zilizotumika (kuitengenezea) inabadilisha maji maji na kuwa rojo rojo ambayo inasababisha saratani katika kibofu cha mkojo na kwenye fuko la uzazi. Kwa hiyo tafadhali jaribu kutumia pedi zilizotengenezwa kwa kutumia pamba, au kam unatumia aina nyengine ya pedi tafadhali angalau badilisha kila baada ya masaa matano kwa siku. Unapopitiliza muda damu (iliyopo kwenye pedi) hugeuka rangi na kuwa ya kijani na kuotesha ukungu (fungus) unaoingia ndani ya fuko la uzazi na kwenye mwili.
[emoji778] Tafadhali usione aibu kuusambaza ujumbe huu kwa wasichana na hata kwa wavulana watakao usambaza pia kwa marafiki zao na wake zao wanaowajali.
[emoji778] DHAMIRIA
Kutokomeza saratani ya matiti "Breast Cancer".
[emoji832] Mtunze mtoto wako (Kumuweka nadhifu).
[emoji832]Fua sidiria yako kila siku.
[emoji832]Epuka kuvaa sidiria nyeusi wakati wa kiangazi (Summer).
[emoji832]Usivae sidiria wakati wa kulala.
[emoji832]Usivae sidiria zenye chuma kwa muda mrefu.
[emoji832]Unapokuwa juani ziba kifua chako chote kwa mtandio au kitambaa (Scarf).
[emoji832]Tumia deodorant na usitumie Anti Perspirant.
Kwa faida yako. "Deodorant ni manukato yanayotumika kupaka chini ya kwapa kwa kuleta harufu nzuri na wakati huo huo sehemu ile ya mwili iliyopaka deodorant mwili kufanya kazi kama kawaida kwa kuruhusu vipenyo kupitisha jasho. Wakati Anti Perspirant huwa haifanyi hivyo, kazi yake ni kuzui jasho lisitoke na kuifanya sehemu hiyo ya mwili kuwa kavu jambo ambalo ni hatari kiafya na linaweza kusababisha saratani".
[emoji832]Ujumbe huu umetolewa na Hospitali ya Saratani ya Tata " Tata Cancer Hospitali" ipo India.
[emoji778] Ufikishe ujumbe huu kwa wanawake wote unaowajali bila kusita.
[emoji778] Kupeana mwamko ni muhimu.
[emoji778] Nakujali.
[emoji778] Tafdhali usisite kuwajulisha wanawake wengine na usambaze ujumbe huu kwa kila mwanamke aliemo kwenye orodha yako.
[emoji778] Nitaanza na wewe.
[emoji873] [emoji873] [emoji873] Tuma ujumbe huu angalau kwa group japo moja.
Imeandikwa na Dk.habelnoah
DuuuuuuuhYakiamka unatafute mbunyeeee unaingiza ndani unasikilizia utamuuu
Demis mbona mizinguo hutumii hiyo vocha[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona Funguo ya Vitz mezani,kumbe siku hizi mpaka wenye vitz wana heshima mjini kweli vyuma ngangaaaaa ngoja nitafute dorari ninunue ata guta uenda tunakoelekea litapata heshima..Usiombee maadui wanakuombea mabaya alafu wewe ndo unazidi kufanikiwa tuuuu[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
1.Huku kwangu leo ni rahaaaa tu kama midorali inazid kujaaa tuuu
2.Mbunyeee inakaribia kumalizaa miezi miwili bila kugegedwaa kitu kinazidi kubanaa[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] mpaka udenda ningekuwa mwanaume[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
3.Maisha yamekuwa mteremko kama mlima kitongaaaaaaaa
4.Wanaonichukua wanazidi kuumia tu.
Na hapa Jf atakayecomment na kupata like nyingi natoa offer ya vocha ya elf 5 na ataleta uthibitisho hapaaaaaaaa
Kwanguuu ni rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] View attachment 879631
Unatfuta nini hapo
Member anayeitwa asubuhi sana nimesema anitafute apate vocha yakeDemis mbona mizinguo hutumii hiyo vocha
Hata baiskeli tu[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona Funguo ya Vitz mezani,kumbe siku hizi mpaka wenye vitz wana heshima mjini kweli vyuma ngangaaaaa ngoja nitafute dorari ninunue ata guta uenda tunakoelekea litapata heshima..
[emoji91] [emoji91] [emoji91]
Ulikuwa wapi shemasi wanguuu
Baiskeri ninayo tayari mkuuHata baiskeli tu[emoji23][emoji23][emoji23]