Jamani ebu tuwe wakweli kuna jambo gani linaloburudisha mwili na roho zaidi ya hili??

Jamani ebu tuwe wakweli kuna jambo gani linaloburudisha mwili na roho zaidi ya hili??

Wapenzi wa jukwaa hili,
Ebu tuambizane ukweli, hivi kuna jambo lolote linaloweza kuburudisha mwili na roho ya mtu 'mzima' zaidi ya ngono? Tusifikirie mambo ya kubakana au ngono ya biashara. Tufikirie ngono ya wapendanao. Wataalam wanatuambia kwamba ngono ikifanywa na watu muafaka, mahali muafaka na muda muafaka, inajenga afya ya mwili na akili.

Kila kitu ni priority.....kama umepriotize ngono ndo itakuwa kuzuri...ila kila mtu ana his/her likes
 
Kwangu mimi ni kumjua mungu ndo kila kitu.

Nimeona watu very devout wanazaa hadi nikashangaa. Yaani ni watu wa Mungu saaana! Mpaka kuna rafiki yangu mmoja mtu wa Mungu sana akaniambia nataka nioe. Nikamwambia si wewe ni mteule, akasema anataka aoe naye. Ndani ya mwaka mmoja mke wake akazaa katoto kazuri! Nikamshangaa sana, nikamwambia na wee mwinjilist unatenda mambo haya? Tukacheka sana.

Kumjua Mungu ni pamoja na kujua siri ya uumbaji wake. Na miongoni mwa siri hizo ni kujamiiana. Hivyo unaposema Kumjua Mungu tunakuelewa kwamba ni pamoja na kujuwa utamu wa kujamiiana.
 
Nimeona watu very devout wanazaa hadi nikashangaa. Yaani ni watu wa Mungu saaana! Mpaka kuna rafiki yangu mmoja mtu wa Mungu sana akaniambia nataka nioe. Nikamwambia si wewe ni mteule, akasema anataka aoe naye. Ndani ya mwaka mmoja mke wake akazaa katoto kazuri! Nikamshangaa sana, nikamwambia na wee mwinjilist unatenda mambo haya? Tukacheka sana.

Kumjua Mungu ni pamoja na kujua siri ya uumbaji wake. Na miongoni mwa siri hizo ni kujamiiana. Hivyo unaposema Kumjua Mungu tunakuelewa kwamba ni pamoja na kujuwa utamu wa kujamiiana.

Kweli kuna watu wamepinda!
 
mi nadhani ni pesa tuuuuuuuuuu,
ukiwa na mawazo hujala huna pa kulala si dhani kama NANUKUU "ngono" itakuwa nifuraha kwako
ni mtazamo tu jamani.......kwangu mi PESA tu

unatumia kinywaji gani vile?
 
arsenal ikishinda ni zaidi ya yote kwangu:wink2::hand:
 
mimi ninafikiri huwa ninasikia raha pale MWISHO WA MWEZ UNAPOFIKA mana ninajua hata kama ninamaden nitalipa au hata kama ninadai nitalipwa yan yote ya yote pale pesa inapoingia mikonon mwangu na ni halali yangu hapo mwil na roho huwa fleeesh kabisa
 
Du kwanza Bia ,safari, ulabu, mataptap mwishowe Ngono tu hicho kitu ndo kilichomtibua Sir GOD kwa hawa na bado hata kina Nuhu Mfalme Suleimani, walikipenda sana
Asiependa naona mshipa una mushkeli
 
Duuuuu hili neno ngono silipendiiiii!!!
Hivi hakuna jina lingine lakutumia hapo?
Yani ukisema ngono mi napata tafsiri mbaya,
Halafu ukinambia hiyo ndo starehe yako ya mwisho, nazidi kuchukia,
 
unatumia kinywaji gani vile?
natumia jackdanielllllllll kama mizinga miwili hivi nikiwa na ka VISA card inayosoma vyema akkkkh mambo mpango mzima ni kukata hadi mitatu kisha naeleke savanna benja tower
ndo mjue mpango mzima ni mshiko tu endmoth............oye oye:A S 112:
 
sisi watakatifu tunatumia ngono kwa zarura tu. hobby yetu ni kusoma maandiko matakatifu. tusemeni amen
 
sisi watakatifu tunatumia ngono kwa zarura tu. hobby yetu ni kusoma maandiko matakatifu. tusemeni amen

Amen!!!
Nisije nikaamka nikakuta umejiita St. Klokwini tu.
 
acheni kujifaragua, ni paradiso ua duniani hio
 
Back
Top Bottom