Mtoto mzuri
Member
- Jan 21, 2011
- 34
- 0
Wapenzi wa jukwaa hili,
Ebu tuambizane ukweli, hivi kuna jambo lolote linaloweza kuburudisha mwili na roho ya mtu 'mzima' zaidi ya ngono? Tusifikirie mambo ya kubakana au ngono ya biashara. Tufikirie ngono ya wapendanao. Wataalam wanatuambia kwamba ngono ikifanywa na watu muafaka, mahali muafaka na muda muafaka, inajenga afya ya mwili na akili.
Kwangu mimi ni kumjua mungu ndo kila kitu.
mi nadhani ni pesa tuuuuuuuuuu,
ukiwa na mawazo hujala huna pa kulala si dhani kama NANUKUU "ngono" itakuwa nifuraha kwako
ni mtazamo tu jamani.......kwangu mi PESA tu
Nimeona watu very devout wanazaa hadi nikashangaa. Yaani ni watu wa Mungu saaana! Mpaka kuna rafiki yangu mmoja mtu wa Mungu sana akaniambia nataka nioe. Nikamwambia si wewe ni mteule, akasema anataka aoe naye. Ndani ya mwaka mmoja mke wake akazaa katoto kazuri! Nikamshangaa sana, nikamwambia na wee mwinjilist unatenda mambo haya? Tukacheka sana.
Kumjua Mungu ni pamoja na kujua siri ya uumbaji wake. Na miongoni mwa siri hizo ni kujamiiana. Hivyo unaposema Kumjua Mungu tunakuelewa kwamba ni pamoja na kujuwa utamu wa kujamiiana.
Kweli kuna watu wamepinda!
mi nadhani ni pesa tuuuuuuuuuu,
ukiwa na mawazo hujala huna pa kulala si dhani kama NANUKUU "ngono" itakuwa nifuraha kwako
ni mtazamo tu jamani.......kwangu mi PESA tu
arsenal ikishinda ni zaidi ya yote kwangu:wink2::hand:
natumia jackdanielllllllll kama mizinga miwili hivi nikiwa na ka VISA card inayosoma vyema akkkkh mambo mpango mzima ni kukata hadi mitatu kisha naeleke savanna benja towerunatumia kinywaji gani vile?
sisi watakatifu tunatumia ngono kwa zarura tu. hobby yetu ni kusoma maandiko matakatifu. tusemeni amen
hivi hautokubali kuwa kondoo wangu?Amen!!!
Nisije nikaamka nikakuta umejiita St. Klokwini tu.
Vodka na mziki kwa sanaaa
hivi hautokubali kuwa kondoo wangu?
hivi hautokubali kuwa kondoo wangu?