Jamani ebu tuwe wakweli kuna jambo gani linaloburudisha mwili na roho zaidi ya hili??

Lipo!!!!
mazoezi ya viungo..
Yanakuweka fiti, yanakufanya usiwaze sana ngono, na ukiifanya basi unaacha heshima kila upitapo!!!
Yanakufanya uwe na umbo la kuvutia wadada (wenyewe wanaita sexy Body)
Yanakuongezea kunfidensi, yanakujengea kinga imara dhidi ya maradhi...
Faida kibao na kubwa zaidi; yapo enjoyable...
 
natumia jackdanielllllllll kama mizinga miwili hivi nikiwa na ka VISA card inayosoma vyema akkkkh mambo mpango mzima ni kukata hadi mitatu kisha naeleke savanna benja tower
ndo mjue mpango mzima ni mshiko tu endmoth............oye oye:A S 112:

dah!
Unataka unigeuze ATM mara hii!
Hebu agiza mountain dew then jilipie nitakurudishia hela yako.
 

Miye nakubaliana nawe. Ukijua namna ya kufanya mapenzi na kuwa na mtu ambaye pia anajua namna ya kufanya mapenzi basi hakuna kitu duniani chenye maraha kama kufanya mapenzi. Kwangu miye cha pili ni kuruka majoka na cha tatu na kucheza mpira/soka na cha nne kuangalia mpira hasa pale ambapo mechi inakuwa na ushindani wa hali ya juu tangu mwanzo hadi mwisho. Siku zote sikubaliani na watu wanaosema, "Love making is overrated"

YouTube - Sexual Healing


Being deeply loved by someone gives you strength, while loving someone deeply gives you courage.
 

Sure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…