Jamani mimi sielewi nimpeje mwenza wangu alizike kwa kawaida kiafya mapenzi yafanywe mara ngapi kwa wik maana naskia kukinai mapema hapa nilipo nipo hoi najikanda maji moto kila siku ndo nafuu yangu,inanibidi nikitoka kwa ofic nipate kinywaji ndo nahimili mshindo wa ligi,nisaidieni jamani maana ndo mume wa kufa kuzikana ndo kwaanza tuna mwaka nikipumzika nableed tu nayo jamaa anaesabu siku ya tatu anasema haina tatizo nikimpa.wasiwasi wangu nikishika ujauzito itakuwaje.