kotelyimola
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 1,459
- 1,506
Kawaida ukichepuka basi na mwenzi wako anachepuka. Nadhani hata mkewe atakuwa na hilo gono. Hivyo ajiandae naye kulea mgonjwaUmevuna ulichopanda! Furuahia mavuno hayoo! Khaa! Uliambiwa ukivumilia hizo siku mkeo hayupo hilo lidushe lingekatika??mfyuuu! Mwambie mkeo samahani mke wangu nilichepuka nimeathirika nipo kwe dozi usikilizie maumivu yake! Katubu hukoo!
HahahahahhaPole kiongozi ....hiyo ni ajali kazini....
Nenda hospitalini kuna dawa flani hivi (nmeisahau jina?)..utachomwa afu maisha yataendelea...bei ya hiyo tiba ni kama elfu kumi hivi.....
Maku tamu sana hatuwezi kuacha eti kisa kisonono..Ukipona unaendeleza gem......kwetu sisi hiyo ni ajali kazini....
Mmmmmh kaka kweli 8hrs hii ki2 inakata kabisa? Au kijana una nijox tuNenda kachome sindano ndani ya masaa 8 imeshakauka...
Ndio Nenda Maduka Makubwa ya Pharmacy ulizia Spectonomycin injection then Nenda Kwa Nurse akuchome Kesho Kitu Kimekauka...Mmmmmh kaka kweli 8hrs hii ki2 inakata kabisa? Au kijana una nijox tu
We mdanganye tu aue kizazichoma ceftriaxone inj. 500mg IM stat pamoja na vidonge vya doxycycline 100mg bd x 7 utapona fasta ndani ya masaa machache. Hivyo vidonge vya doxycycline vinaenda sambamba katika kutibu kasendwe
Swadakta muzewe.Kazi tuPole kiongozi ....hiyo ni ajali kazini....
Nenda hospitalini kuna dawa flani hivi (nmeisahau jina?)..utachomwa afu maisha yataendelea...bei ya hiyo tiba ni kama elfu kumi hivi.....
Maku tamu sana hatuwezi kuacha eti kisa kisonono..Ukipona unaendeleza gem......kwetu sisi hiyo ni ajali kazini....
Saguda47 nimekukubali plz niibox ur number plzHaya yapo tu ilimradi huwa inasimama, wengine wanacheka na kudhihaki si ajabu kesho Kutwa ikampata na yeye anaanza kuulizia msaada, lets be serious to our fellows who bring here their claims requesting for help, you never know may be you are the next, gonorrhoea is a serious infection which may drive ba person into deep sorrow, stress and confusion since it may be accompanied with other STDs