Jamani hadi watoto wa kike huwa tunapigwa BAN?

naomba kusaidiwa naona watu wanaandika humu jf wengine 24/7 wengine 0713 ; hizi namba zina maana gani ?
 
Aisee jamani mod hizo ban zenu muwe mnaangalia
Sio mnapiga ban tu bila sababu za msingi

Alafu sio kwa uzuri huu View attachment 433659

[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
Ndio nimerudi hivyoo
Richaabra ndio miee
Kumbe ndio ulivyo hivi, my image was different to this
 
hiyo picha yako ingekuwa umeiweka Avatar asee ban lisingekuhusu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…