Jamani hadi watoto wa kike huwa tunapigwa BAN?

naomba kusaidiwa naona watu wanaandika humu jf wengine 24/7 wengine 0713 ; hizi namba zina maana gani ?
0713 Ni namba za kianzio cha mtandao wa mawasiliano unaotumiwa na kampuni ya TiGO.
 
naomba kusaidiwa naoj watu wanaandika humu jf wengine 24/7 wengine 0713 ; hizi namba zina maana gani ?
Mkuu 24/7 maana yake ni masaa ishirini na nne kwa siku saba. 0713 ni namba maarufu zinazotumiwa na mtandao wa TIGO. Mara nyingi wanamaanisha kinyeleo
 
Kama unajiamini post picha yako halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…