Hawa wafanyakazi kwanza waligoma wakidai 150,000-ndo akaenda Mkuu wa Mkoa- akawasihi warudi kazini- kwanza wasiendelee na mgomo wakakataa!
Sunflug iliomba barua kwa Chiligati walipe 80,000 kwani ni labour intensive na kama itakuwa 150,000 basi watafunga kiwanda au wapunguze wafanyakazi. Chiligati akawapa barua waendelee na 80,000. Kwa hiyo wakaanza fujo-kama hawalipwi 150,000- Mkuu wa Mkoa akaita FFU- na kusema wanaotaka kuendelea na kazi waingie kiwandani- na wasiotaka- basi waondoke- ndo naskia kiwanda kikafungwa!
Kama alivyosema Susuviri- huu sii Ujamaa- ni Capitalism- hii inaweza kuwafukuza wawekezaji! Wanasema the same work kama ya Sunflug India hulipwa 70,000, na China 80,000 , Vietnam 60,000.
JK asiingize siasa ktk uzalishaji! Naskia hawa wafanyakazi walikuwa wanaimba nyimbo za kumkumbuka Nyerere!
Wafanyakazi wengi wataachishwa kazi- serikali ispokuwa makini. Mimi ni bora niwe na kazi nilipwe hata 60,000 kuliko kutokuwa na kazi kabisa! Chiligati amekosa Economits kumshauri?