Jamani hebu sikieni nilichokiona leo - Bosi na Binti wa 16yo


Ni vizuri kuongea naye but mapenzi ni kizungu mkuti.. kama yamenoga kwa babu yatafika.
 
Hivi hako kabinti kalikuwa kamewekewa bastola kichwani au kalikuwa kamefungwa kamba mikononi na miguuni?

Mkuu wa kaya aliwahi kusema hivyo ni VIHEREHERE vya mabinti wa siku hizi. Vibinti vya siku hizi havina aibu kabisaa na kwao NENO hapana limefutika kabisa kwenye kumbukumbu zao. Kila kitu ndio
 
dogo anaonekana anafurahia kufanyiwa vile anavyoona akina marychui wanafanyiwa kwenye tiviiiiiiii,maadili kushnei nao deyz:smash:
 
Taratibu baba juice mbona wamfikiria vibaya LD? sio fresh
 
Habari yako Baba Juice!!!
Pole kwa upweke!!!
Maisha lazima yaendelee!!!
Ni maombi yangu Mungu awalinde watoto wetu,
Wasiangukie mikononi mwa wanyanganyi,
na katika mazingira ya watu wenye matusi na dharau.

Na kwa kuwa Mungu anatupenda sisi pamoja na watoto wetu atawalinda.
 

...nimekusoma LD, na haya aliyoyaandika WoS hapa chini ndio nimebakia hoi kabisa!


...WoS this is serious bana, pls say you are joking!
Mbona inatisha? ...yaani (16yrs) binti ndio anaanza flirting?!
 
pole mwaya. Kuna watu utafikiri ubongo wao umeganda. Ameniboa utafikiri kaniambia mimi.

Nawashukuru sana MODS wamenisaidia manake, nilikuwa najisikia kichefu chefu!!!!
 

binafsi, nadhani ni kuachana na hayo masuala na kuendelea na shughuli zako!!.. siku hizi ugonjwa unaoitwa NGONO umekuwa kila mahali, si kwa watoto wa shule, si kwa walio makazini na si kwa walio katika ndoa.. So lililopo just mind your own business maisha yaendelee (siamini kama utapata matokeo mazuri kuendelea kufuatilia suala hilo). Ila watu tunatakiwa kubadili tabia
 
Walikuwa wana-do? story haieleweki!
Sasa wewe umeongea na bosi wako? Kwa nini usianze na yeye kama unaona ana kosa badala ya kuja na maswali kwa wanaume huku jf.
Naona approach yake imekaa kuwanyanyasa wanaume badala ya kuelekeza malalamiko yako kwa huyo uliye na shida naye...
 

Kaleta humu kaona ni kitu cha aibu na ili iwe fundisho, pole boss
 
Bado haiingiii akilini mtoto wa fom foo kuwa 16 na pia kuwa comfortable vile... Iko namna na kuna watu umalaya ni damuni full 100%

Babu kachemsh, lakini nachelea kuamini haya ya 16yrs

BTW, LD dada, uache kuweka funguo kwa bosi na uwe unapiga hodi ndio uafrika huo (huwa tunapiga hodi)
 
Watoto wa sasa hawaogopi kitu.yaani anakuletea ukimbie mwenyewe

Mchape bakora akijileta mwenyewe, hata hivyo mwanaume anaona nini in 16yrs old girl! hajui chochote hata kama mjanja bado hajawa mwanamke kamili
 

...why not mkuu MTM,
leo ni 26th March, 'kama' kabinti kalizaliwa 1st April 1994 bado hakajatimiza 17yrs,
...umri ambao wengi wetu ndio tulikuwa nao, tulipokuwa tunamaliza O' level - form four miaka ileee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…