Jamani hebu sikieni nilichokiona leo - Bosi na Binti wa 16yo

Jamani hebu sikieni nilichokiona leo - Bosi na Binti wa 16yo

hayo ni mambo ambayo yamekuwa ya kawaida kabisa kwa kizazi kilichopo so nothing new is just bse you saw it but there hundreds of it. na kuna notion siku hizi kuwa akina babu ndio wazuri kwa, mosi kutoa bajeti nzuri kila unapopresent ombi no objection and with surplus also they dont bother them much bse only right time and right place to meet otherwise kila mtu ana zake .zaidi ya yote si unajua akina babu ni tamaa ya macho tu akienda kimoja tu ulimi nje anaishia kulambalamba tu so no kuchoshana sana. they are more prefferable than most of you guys there, chick knows about it

Ndio naka jukuuu jamani.
OLe wetu watoto wetu wa kike!!!
 
dah! Sahivi vibabu vina balaa. Vibinti navyo ndio usiseme.
Kuna babu moja nakaa nalo jirani, nikimuamkia badala ya kuitikia ananikonyeza. Sijui nimfanyaje.

Ha ha ha ha. Husninyo umenichekesha!!!
kazi kwako mama, amua kusuka au kunyoa hapo.
Ila hawa mi sijui naona je yani.................
Acha tu nisiseme lakini hapana.............
 
...dah, kidogo nidhani alikuwa kampakata mwanae,..
anyway, mwana kwako, kwa mwezio mkubwa huyo!...Oopppsss,
wajibu wako kama mzazi ulitakiwa um report boss kwa wahusika haraka iwezekanavyo.

Kwanini hukufanya hilo?!
alikua anasubiri ushahidi babangu

LD anashangaza sana
 

Najaribu kuvuta hisia nani kaanzisha move......hofu yangu ni binti kuwa ndio muasisi na babu kucheza ngoma ya binti maana mabinti wa siku hizi duh, wakina fataki sometimes tunawaonea......
maana kuna binti aliwahi kumuambia mzee wa watu "we huniambii kitu maana nimebeba wenye mashine zaidi yako?" sasa hapo tena!!

Watoto wa siku hizi hawana adabu kabisa. Haijalishi wa kike au wa kiume!
Tamaa huwafanya wakose haya kabisa na kutongoza watu wanaotosha kuwazaa! Sijui ni kukosa malezi mema ya wazazi au ni nini.

Case kama hii ya LD usikute katoto ndiko kalilianzisha ma mzee huyo...ukute ni rafiki wa familia maana huu ndio mtindo siku hizi!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
We unamwonea huruma mwenzako anaona ameshinda bingo!Huyo msichana hakuwepo hapo kwa lazima kwahiyo hata isingekua bosi wako ingekua mwanaume mwingine!Maana mwenyewe anapenda na kufurahia..usishangae kujua kwamba binti ndo aliyemtega mzee kwahiyo usidhani kwa kuongea nae utakua unamsaidia inawezekana akawa hautaki msaada wako!Nwyz kama utaongea nae kua mdadisi bila kumwonyesha kwamba unadhani anahitaji mtu wa kumuokoa!Ukishajua kilichosababisha na kinachomweka ndo uamue nani wa kulaumiwa.
 
Ha ha ha ha. Husninyo umenichekesha!!!
kazi kwako mama, amua kusuka au kunyoa hapo.
Ila hawa mi sijui naona je yani.................
Acha tu nisiseme lakini hapana.............

sikuhizi nimeamua nimchunie maana mikonyezo imezidi. Nikimuona amekaa na wakubwa ndio namsalimia.
 
Fikiria babu ni mamber wa jf halafu aone hii post si ndio utakuwa mwisho wako hapo?
 
Hii mbaya!,, Ila hivi vitoto vinawajaribu sana kaka zetu...
 
We unamwonea huruma mwenzako anaona ameshinda bingo!Huyo msichana hakuwepo hapo kwa lazima kwahiyo hata isingekua bosi wako ingekua mwanaume mwingine!Maana mwenyewe anapenda na kufurahia..usishangae kujua kwamba binti ndo aliyemtega mzee kwahiyo usidhani kwa kuongea nae utakua unamsaidia inawezekana akawa hautaki msaada wako!Nwyz kama utaongea nae kua mdadisi bila kumwonyesha kwamba unadhani anahitaji mtu wa kumuokoa!Ukishajua kilichosababisha na kinachomweka ndo uamue nani wa kulaumiwa.

Uko sawa Lizzy! Inawezekana huyo mtoto anamuona LD kamuaribia siku yake, na inawezekana huo wasiwasi wa hicho kitoto kilihisi naye LD huwa unajisevia hapo.
 
Uko sawa Lizzy! Inawezekana huyo mtoto anamuona LD kamuaribia siku yake, na inawezekana huo wasiwasi wa hicho kitoto kilihisi naye LD huwa unajisevia hapo.




Sikuwa na nia ya kucheka jioni hii lakini daaah,nimeshindwa hahahahahahaah......
 
Uko sawa Lizzy! Inawezekana huyo mtoto anamuona LD kamuaribia siku yake, na inawezekana huo wasiwasi wa hicho kitoto kilihisi naye LD huwa unajisevia hapo.

Unasema kweli yani manake nawaza hizo plan walizopanga aje asubuhi na mapema kabla wengine hatujafika si kanajua nini kanafanya haka!!!
 
Watoto wa siku hizi mie nashindwa kuelewa nachojiuliza ni kwamba nani anayemsomesha...mpaka pesa ya kutoa fotocopy ya fomu ya mtihani ashindwe kumlipia
 
Dahh
kwa kweli
Kihama ndo
kitasolve kila kitu..
kwani tumeichafua hii
Dunia kupita kiasi
 
leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie fomu ya registration ya mtihani wa form four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.

Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?

je uliriport polisi? Polisi walichukua hatua gani? Maana kama ilikukera basi ungechua hatua ya kuwaambia polisi dakika ileile!! Hapo ningekupenda na kukusifia.
 
je uliriport polisi? Polisi walichukua hatua gani? Maana kama ilikukera basi ungechua hatua ya kuwaambia polisi dakika ileile!! Hapo ningekupenda na kukusifia.

Samahani kwa sababu sikuweza kufanya hivyo kwa wakati huo. Lakini pia skufikiria kama kuwaambia polisi ni hatua ya kuchukua kwa haraka haraka namna hiyo.

Ila ninampango wakuongea na huyo binti baadae kidogo ili nijue mawili matatu kuhusu yeye!! Nikifanikiwa kufanya hivo nitakuja kuwaambia.

Inaniuma ni kweli manake fikiria baba kama hayo kapita wapi na wapi halafu leo aje kumkaba mtoto kama huyu. Ni aje kuhusu virusi. Mi nina mdogo angu ana umri kama huo huo.
 
Habari yako LD,
Pole na mkasa wa jana
hebu kwanza nipe updates za leo kabla sijatoa comments zangu
 
Chukua hatua la sivyo na wewe utakuwa umeshiriki kwenye hiyo dhambi
 
LD ninachokushauri kuanzia sasa usiweke tena funguo kwa bosi wako.
Ondoka nazo au acha kwa mlinzi
 
Back
Top Bottom