Jamani hebu sikieni nilichokiona leo - Bosi na Binti wa 16yo

Jamani hebu sikieni nilichokiona leo - Bosi na Binti wa 16yo

LD ukiangalia upande mwingine wa shilingi hawa watoto wetu siku hizi wamecharuka
wanatamaa, wanapenda vitu vya juu kuliko uwezo,ndo mana nao wanakubali
sasa kwa kuwa vibabu vinaona hao watoto wako weak ndo hapohapo wanapata mwanya wa kuwarubuni
wakipewa simu, vihela kidogo mtoto kaingia line
mi naona pande zote mbili zina makosa

kuna kisa nilikishuhudia mimi machozi yalitoka
mtoto wa darasa la 6 alikuwa anaishi kwenye kituo cha yatima kumbe ni muathirika
jibaba na tamaa zake akamtongoza na mtoto kwa tamaa ya pesa akamkubali
sasa pata picha yule baba akidhani mtoto mbichi si ameukwaa tayari na kamuambukiza mkewe na huwezi jua kama ana mwanamke mwingine zaidi ya huyo mtoto.JE TUTAFIKA??wababu jamani wababu haa!


Yani ndo maana hata mimi nawalaumu wanaume, kwa kuilingalisha akili ya huyu baba na haka katoto,
Kwamba hawa ambao, wangetuongoza ktk mema ndio wanaotuharibu.

Ila hako katoto wala sijataka kuongea nako sana, nipate kwanza nafasi ya kumchunguza nijue maisha yake,
Na labda naweza kupata sababu za kwa nini afikie maamuzi kama hayo.
Na nitafanya juhudi nijue kabisaaa!!!!
 
Unajua kwa nini mi nawalaumu wanaume hasa kwa kesi hii,
Uwezo wa kufikiria kwa mtu mzima kama huyu, ni mkubwa kuliko, huyo mtoto wa miaka 16.
Ilibidi haka katoto kamheshimu na kumuogopa, kama babu yake, lakini ona sasa,
anaona kitu ambacho hakupaswa kukiona kwa babu yake.

Don't underestimate the maturity of a 16 year old girl. They know much more than you think!

Halafu ingekuwaje kama hako kabinti ungekafuma na sharobaro wa rika lake, tuseme miaka kati ya 15-17. Kwenye kitabu chako cha maadili hiyo ingekuwa sawa? Ungemlaumu nani hapo? Sharobaro peke yake? Binti peke yake? Au wote wawili?
 
Don't underestimate the maturity of a 16 year old girl. They know much more than you think!

Halafu ingekuwaje kama hako kabinti ungekafuma na sharobaro wa rika lake, tuseme miaka kati ya 15-17. Kwenye kitabu chako cha maadili hiyo ingekuwa sawa? Ungemlaumu nani hapo? Sharobaro peke yake? Binti peke yake? Au wote wawili?

Ni kweli, nakubali kabisa, manake mpaka athubutu kufanya hivyo ina maana tayari anajua anachokifanya.
Lakini kwangu hiyo sio justification ya huyu babu ambaye ni grandparent kabisa wa huyu binti kuwa naye hivo.

Kwa hiyo kesi hapo juu, wala nisingewalaumu, bali ningekaa nakuwaelekeza vile wafanyavyo sio vizuri kwa afya yao ya Roho na mwili.
Ningewaambia ukweili kuhusu hilo, maadamu wote ni watoto.
 
Don't underestimate the maturity of a 16 year old girl. They know much more than you think!

Halafu ingekuwaje kama hako kabinti ungekafuma na sharobaro wa rika lake, tuseme miaka kati ya 15-17. Kwenye kitabu chako cha maadili hiyo ingekuwa sawa? Ungemlaumu nani hapo? Sharobaro peke yake? Binti peke yake? Au wote wawili?

Hapo sawa na ndio wanatakiwa kuwa wote sababu ni rika mija
 
Ni kweli, nakubali kabisa, manake mpaka athubutu kufanya hivyo ina maana tayari anajua anachokifanya.
Lakini kwangu hiyo sio justification ya huyu babu ambaye ni grandparent kabisa wa huyu binti kuwa naye hivo.

Kwa hiyo kesi hapo juu, wala nisingewalaumu, bali ningekaa nakuwaelekeza vile wafanyavyo sio vizuri kwa afya yao ya Roho na mwili.
Ningewaambia ukweili kuhusu hilo, maadamu wote ni watoto.

Basi na kwa huyo binti fanya vivyo hivyo. Mtafute, mkalishe chini umpe neno. Mwambie faida (kama zipo) na hasara za hicho anachokifanya. Akiamua kukusikiliza na kuzingatia ushauri wako basi itakuwa vizuri. Akiamua kukupotezea basi acha na iwe hivyo.
 
Hapo sawa na ndio wanatakiwa kuwa wote sababu ni rika mija

Kwa hiyo unaunga mkono teenage sex? Kama ndiyo basi maana yake ni kwamba pia unaona ni sawa watoto kuzaa watoto! Duuuh nachoka kabisa!!!!!
 
Basi na kwa huyo binti fanya vivyo hivyo. Mtafute, mkalishe chini umpe neno. Mwambie faida (kama zipo) na hasara za hicho anachokifanya. Akiamua kukusikiliza na kuzingatia ushauri wako basi itakuwa vizuri. Akiamua kukupotezea basi acha na iwe hivyo.

Ndio mpango nilionao kwa kweli, ila nasubiri kwanza, atulie halafu nitamtafuta, nitimize wajibu wangu!!!
 
fataki huyu kiboko usiku aliuona mrefu
amefika office cha kwanza kabinti

dunia inakaribia ukingoni tuzidi kuwaombea watoto waepukane na tamaa za kuingia kwa mafataki
 
Lkn kama kangekuwa ni kababu kangekuwa kamestaafu na hako kabinti ni (fom iv) tena ya ck hizi... hapo ni aje
 
Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.

Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?

Hebu summarise hii kitu...kwamba babu ali-quickie ofisini asubuhi asubuhi?
 
Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.

Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?
Eahmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm.
 
source ya tatizo ni malezi mabovu (wazazi hawakumpa pesa ya kwenda cafe?) na wala sio huyo boss wako. Pia huyo binti hana adabu na yeye ndio wa kulaumiwa. Hiyo picha ni sawa na chatu kukutana na mbwa; je utamlaumu chatu?
 
Ndio hivyooooooo!!!!!

Wishing ungekua na kamera ukawafotoa....ilikua bonge la dili kwa sigongo......
:focus:......kabinti kana tamaa ya mkwanja....babu ana tamaa ya vibinti.....life goes on!
 
Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.

Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?

...dah, kidogo nidhani alikuwa kampakata mwanae,..
anyway, mwana kwako, kwa mwezio mkubwa huyo!...Oopppsss,
wajibu wako kama mzazi ulitakiwa um report boss kwa wahusika haraka iwezekanavyo.

Kwanini hukufanya hilo?!
 
Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.

Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?
samahani sana MCD

Nazidi kusikitika kuona unahukumu wanaume wakati mkosaji umemuacha si ajabu bila kuhoji na ukijua kabisa anyeharibika ni mdogo wako wa kike

Umenisikitisha sana
 
Back
Top Bottom