enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 1,838
- 7,346
Ujasusi ndiyo unaongoza dunia. Matukio mengi na michezo ya kisiasa mengi huchezwa kijasusi zaidi. Ujasusi hutumia aina mbili za matukio ambayo ni :
(a) Tukio la uongo: Hapa hutengenezwa tukio la kuzusha la kuidanganya na kuihadaa jamii au adui aliyekusudiwa.Karibu wanajamii wote duniani huletewa matukio ya uongo na ya kupikwa!!!!!!!!!!!
Mfano :1) Mgogoro wa Ukraine tunaambiwa ni Ukraine kutaka kujiunga na NATO lakini nyuma ya pazia kuna jambo zito limejificha!!!!!!!!!
2) Marekani alipoivamia Iraq (2003) sababu kuu tuliyoambiwa ni Iraq kumiliki silaha za maangamizi!!!!!!!Lakini baadaye???????
3) Marekani na washirika walipoivamia Afghanistan sababu kuu ilikuwa kulivunja na kumkamata kiongozi wa Al qaeda wa wakati huo Osama bin Laden!!!!!!!!!! Lakini baadaye????????
(b) Tukio halisi: Hapa ndiyo kwenye kiini cha tukio au mzizi au lengo. Hapa ndiyo usiri wa kijasusi na uhodari wa kijasusi unahitajika.Mara nyingi tukio kuu huwa ni siri ya kambi!!!!!!!!!!!!!! Mimi na wewe huwa tunakuja kujua mara baada ya miaka kwani huwa siyo siri tena na hutoa wao wenyewe wahusika!!!!!!!!!!
Ujasusi hutumia taarifa kama msingi mkuu wa ufanyaji kazi. Hapa taarifa huchakatwa na kuchakatwa mpaka lengo linapatikana!!!!!!!!Ujasusi ni umbeya mkuu.Kama huna taarifa maana yake huna ujasusi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna matukio yakitokea , watu wa ujasusi wenyewe wakiunganisha nukta hutabiri nini kinaenda kutokea.Ujasusi hautegemei hisia kama mimi na wewe.Sisi tukiambiwa jambo huendeshwa kihisia,kimhemko na papara zaidi!!!!!!!!!!!
Moja ya mafunzo yao ni kuepuka kutumia hisia kwenye maamuzi!!!!!!!!!!Ila wanaweza kucheza na hisia zako!!!!!!!!!!!!
Kulingana na tukio la jana huko Urusi naomba tuunganishe nukta!!!!!!!Kuhusu kupatia ama kukosea haituhusu kwani nao pia hukosea na ni sifa ya kibinaadamu!!!!!!!!!
Haya tuanze sasa Kuunganisha nukta!!!!!!!!!!!
14 Jun 2023 — President Vladimir Putin said on Tuesday that any further mobilisation would depend on what Russia ... "Should we return there or not?
2023/06/23
23 hours ago — This is a coup d'etat. There is no need to do this now, because there is no greater damage to the image of Russia and to its armed forces,” he ...
3: 15 hours ago — June 23. Prigozhin releases a video stepping up his feud with Russia's military top brass and for the first time, rejects Putin's core ...
9 hours ago — Yevgeny Prigozhin, the founder of the Russian private military group Wagner, on Friday accused Russia's military leadership of killing a "huge
...
2023/06/24
12 hours ago — Yevgeny Prigozhin, the head of the Wagner paramilitary group, has agreed to leave Russia for Belarus, the Kremlin said Saturday, in a deal ...
1 hour ago — Yevgeny Prigozhin is "stripped of control" of the Wagner Group and set to move to Belarus in return for mutiny charges being dropped; questions ...
Source: Sky news:25/06/2023
Russians killing Russians was a spectacle Ukrainians would watch with relish.
By the end of the day there was a sense of crushing disappointment. "Everyone is sorry," one Ukrainian said, "because we had hoped".
Ukrainians know, though, that nothing in Russia is quite what it seems.
Source: Sky news:25/06/2023
"The fact that he's gone to Belarus is a matter of some concern," said the former British Army chief of general staff.
Source: Sky news:25/06/2023
Nb 1: Unahisi nini???
Nb 2: Je, ni mchezo wa kuigiza????
Nb 3: Katika maisha penda kuunganisha nukta huwa inasaidia kukuepusha na hatari na kujiweka katika kifaida zaidi katika kufanya maamuzi!!!!!!!
Nb 4: Usipende mtu mwingine aichezee akili yako kwani mara nyingi malengo yake siyo mazuri!!!!!!!!!
Ni mtazamo tu
(a) Tukio la uongo: Hapa hutengenezwa tukio la kuzusha la kuidanganya na kuihadaa jamii au adui aliyekusudiwa.Karibu wanajamii wote duniani huletewa matukio ya uongo na ya kupikwa!!!!!!!!!!!
Mfano :1) Mgogoro wa Ukraine tunaambiwa ni Ukraine kutaka kujiunga na NATO lakini nyuma ya pazia kuna jambo zito limejificha!!!!!!!!!
2) Marekani alipoivamia Iraq (2003) sababu kuu tuliyoambiwa ni Iraq kumiliki silaha za maangamizi!!!!!!!Lakini baadaye???????
3) Marekani na washirika walipoivamia Afghanistan sababu kuu ilikuwa kulivunja na kumkamata kiongozi wa Al qaeda wa wakati huo Osama bin Laden!!!!!!!!!! Lakini baadaye????????
(b) Tukio halisi: Hapa ndiyo kwenye kiini cha tukio au mzizi au lengo. Hapa ndiyo usiri wa kijasusi na uhodari wa kijasusi unahitajika.Mara nyingi tukio kuu huwa ni siri ya kambi!!!!!!!!!!!!!! Mimi na wewe huwa tunakuja kujua mara baada ya miaka kwani huwa siyo siri tena na hutoa wao wenyewe wahusika!!!!!!!!!!
Ujasusi hutumia taarifa kama msingi mkuu wa ufanyaji kazi. Hapa taarifa huchakatwa na kuchakatwa mpaka lengo linapatikana!!!!!!!!Ujasusi ni umbeya mkuu.Kama huna taarifa maana yake huna ujasusi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna matukio yakitokea , watu wa ujasusi wenyewe wakiunganisha nukta hutabiri nini kinaenda kutokea.Ujasusi hautegemei hisia kama mimi na wewe.Sisi tukiambiwa jambo huendeshwa kihisia,kimhemko na papara zaidi!!!!!!!!!!!
Moja ya mafunzo yao ni kuepuka kutumia hisia kwenye maamuzi!!!!!!!!!!Ila wanaweza kucheza na hisia zako!!!!!!!!!!!!
Kulingana na tukio la jana huko Urusi naomba tuunganishe nukta!!!!!!!Kuhusu kupatia ama kukosea haituhusu kwani nao pia hukosea na ni sifa ya kibinaadamu!!!!!!!!!
Haya tuanze sasa Kuunganisha nukta!!!!!!!!!!!
1 :Putin ponders: Should Russia try to take Kyiv again?
14 Jun 2023 — President Vladimir Putin said on Tuesday that any further mobilisation would depend on what Russia ... "Should we return there or not?
2: Putin vows to punish 'armed uprising' by Wagner militia as ...
2023/06/23
23 hours ago — This is a coup d'etat. There is no need to do this now, because there is no greater damage to the image of Russia and to its armed forces,” he ...
Timeline: How Wagner Group's revolt against Russia ...
3: 15 hours ago — June 23. Prigozhin releases a video stepping up his feud with Russia's military top brass and for the first time, rejects Putin's core ...
4: June 24, 2023 - Wagner head says group standing down
99 hours ago — Yevgeny Prigozhin, the founder of the Russian private military group Wagner, on Friday accused Russia's military leadership of killing a "huge
...
5: Wagner chief to leave Russia for Belarus in deal that ends ...
2023/06/24
12 hours ago — Yevgeny Prigozhin, the head of the Wagner paramilitary group, has agreed to leave Russia for Belarus, the Kremlin said Saturday, in a deal ...
6: Ukraine-Russia war latest: 'Something smells off' with ...
1 hour ago — Yevgeny Prigozhin is "stripped of control" of the Wagner Group and set to move to Belarus in return for mutiny charges being dropped; questions ...
Source: Sky news:25/06/2023
7:Ukrainians believe this is just act one of Putin's drama
For much of yesterday it seemed Ukraine's enemies were about to turn on themselves.Russians killing Russians was a spectacle Ukrainians would watch with relish.
By the end of the day there was a sense of crushing disappointment. "Everyone is sorry," one Ukrainian said, "because we had hoped".
Ukrainians know, though, that nothing in Russia is quite what it seems.
Source: Sky news:25/06/2023
8: Wagner could lead attack on Kyiv from Belarus, British general warns
Ukraine's leaders must guard against a possible attack led by Yevgeny Prigozhin launched at Kyiv from Belarus, General Lord Richard Dannatt tells Trevor Phillips on Sky News."The fact that he's gone to Belarus is a matter of some concern," said the former British Army chief of general staff.
Source: Sky news:25/06/2023
Nb 1: Unahisi nini???
Nb 2: Je, ni mchezo wa kuigiza????
Nb 3: Katika maisha penda kuunganisha nukta huwa inasaidia kukuepusha na hatari na kujiweka katika kifaida zaidi katika kufanya maamuzi!!!!!!!
Nb 4: Usipende mtu mwingine aichezee akili yako kwani mara nyingi malengo yake siyo mazuri!!!!!!!!!
Ni mtazamo tu