Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vipi!
Jana nimeota passport yangu ya kusafiria nimekuta mahali imetupwa na imekanguliwa na wembe maandishi yote kwenye passport kisha ikakatwa kipande.
Nina imani huku kuna watu wana karama ya kufafanua ndoto na kusaidia.
Naombe msaada wa maombi yenu.
Jana nimeota passport yangu ya kusafiria nimekuta mahali imetupwa na imekanguliwa na wembe maandishi yote kwenye passport kisha ikakatwa kipande.
Nina imani huku kuna watu wana karama ya kufafanua ndoto na kusaidia.
Naombe msaada wa maombi yenu.