Hii ni soda ya fanta ipo kwenye chupa ya mirinda kivipi??
Hii utokea pale chupa zinaporudishwa kiwandan kwa ajili ya kujazwa tena soda,unakuta kuna crate limechanganywa chupa za mirinda na fanta,,,kwny uzalishaji kuna watu wanaitwa sighters ambao wanakuwa trained kwa ajili ya kuondoa chupa chafu,mbovu,na chupa ngen tofaut na brand husika na hawa wanakuwa katka pande mbili kabla ya bottle washer(mashine ya kuosha chupa) na baada ya bottle washer sasa uwa inatokea esp usiku makosa kama haya chupa inapita toka upande wa empty kwny washer na inatoka kwenda kuwekewa soda bado haijagundulika kama ni foreign bottles had inajazwa soda tunatambuaje kama ni kampun ya coca cola ni hyo crown hapo juu haiwezekan soda ikawa mirinda afu ikawa na kizibo cha coca so anayecap ndo mwny soda ndan,, hii hutokea na ni ngumu sana kuzuia ingawa nchi zilizoendelea wana machine ya kuinspect chupa automatically kidogo inawasaidia ila kwa bongo bado sana