Jamani hii tabia au ni hulka kwa Wababa!!!

Jamani hii tabia au ni hulka kwa Wababa!!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912
Wandugu naomba nianze kwa kuhadithia kastory kadogo!!

jana katika pitapita yangu kituo cha polisi nilikutana na mkasa huu ambao amam mwenye nyumba alikuwa amekuja kuuwasilisha kituoni.Mkasa wenyewe ni huu.

Kuna baba mmoja makazi yake huko Morogoro alisafiri na kwenda Moshi katika kutafuta maisha.Baada ya muda aliwasili nyumbani akiwa na msichana mdogo ambaye alimleta kwa ajili ya ajira ya kazi za nyumbani;Kwa mjibu wa huyo mama yule dada alikuwa akilala sebuleni hivyo ikanipa picha kuwa huenda nyumba waliokuwa wanaishi ni ya chumba kimoja na sebule.Kwa kipindi chochote hicho ikaja kundulika kuwa baada ya mama kuwa usingizin baba alikuwa anajifanya anaenda kujisaidia kumbe anajianda kujinafasi na hako kahouse maid huku akikapa vitisho kuwa akija mwambia mkewe atamuua.Hivyo kale kasichana kakawa kana kaa kimya tu huku kakiendelea kugawa uroda kama kawaida kwa libaba lile huku kweli mkewe bila kujua.

Baada ya muda kale kasicha kakapata ujauzito hivyo katika kujiokoa ikabidi kajitose kumwambia mke mtu kuwa anaujauzito,baada ya yule jibaba lu mbegu kugundua kuwa habari imeshaharibika ikabidi atembeze kipondo kwa kale kabinti mpaka ujauzito wake kuharibika.

Mama mji alipoona hivyo ikabidi awe kama mzazi kumsaidia yule binti kwa kumpeleka hospitalini na kumfichia aibu mumewe pindi itakaposambaa mitaani na kweli walifanikiwa.

Cha ajabu baada ya yule binti kupata matibabu na kupona siku za majuzimajuzi mama mwenye nyumba akawafuma tena baba akikamega tena kabinti ka watu ndo yule mama alipochukia na kuamua kwenda kuripoti kituoni mkasa mzima.

Swali na mawazo toka kwa wadada na wababa wa humu JF.
Ni kitu gani kinawafanya wanaume kutembea na housemaid kweli ni kuwa na hamu isiyotimizwa na mama mwenye nyumba au ni kwa sababu kuwa na tabia ya kubaka.

Tumsifu yesu kristo
 
baadhi ya mawazee ya humu yatakuambia yanabadili ladha, kumbe ni uzinzi tu unawasumbua....hovyo kabisa.
 
...Swali na mawazo toka kwa wadada na wababa wa humu JF.
Ni kitu gani kinawafanya wanaume kutembea na housemaid kweli ni kuwa na hamu isiyotimizwa na mama mwenye nyumba au ni kwa sababu kuwa na tabia ya kubaka....

Tabia mbaya tu... hakuna lolote hapo, ni kujidhalilisha tu. Ni bora aoe kabisa wajue moja kuliko kujidharirisha namna hiyo.
 
Unajua kila kitu ana andaa huyo binti sasa hapo nani aitwe mama mwenye nyumba? Basi kilicho baki baba ni kumega tu maana mama mwenye nyumba anakabidhi madaraka kwa house maid kila kitu bila kujua hata kumegwa nako ana mkabidhi.
 
hivi hata hapa sipati picha kabisa wanaume njooni mjibu mashitaka yenu hapa ..huwa hamridhiki unyumba mnaopewa ?
 
Unajua kila kitu ana andaa huyo binti sasa hapo nani aitwe mama mwenye nyumba? Basi kilicho baki baba ni kumega tu maana mama mwenye nyumba anakabidhi madaraka kwa house maid kila kitu bila kujua hata kumegwa nako ana mkabidhi.
wizi mtupu ..hakuna cha kila kitu H/gal wala nini ...Uzinzi tu kama nyamayao alivyo sema
 
Kuna watanzania 1.5 ambao wana matatizo ya akili.
Huyo mzee ni mmojawapo.
 
hiyo ni tabia ya mtu binafsi (ngumi mkononi a.k.a ukatili) na si wanaume wote. Kwa upande wa kupenda chini, imekula kote coz mi najua wanawake wengi wanaoshabibia utamu nje ya ndoa vile vile...so tuhuma ziko kote. tusisimangane
 
Kwani uzinzi nini maana yake ?

Kumega ovyo ovyo bila utaratibu maalumu lakini kama unao wako 2 ahaaa unajimegea kiutaratibu huo sio uzinzi hata vitabu vinasema uoe mpaka wa 3.
 
huyo mama naye aliyataka.

1. Mwanaume ahkuletei housegirl hata siku moja, we unajua walikubaliana nini?

2. Alipogundua alichukua hatua gani? ina maana alidhani mume wake ataacha wakati kesha onja tunda? Mwanaume kama anacheat kwa bahati mbaya ni mara moja na hamrudii huyo mwanamke but kuendelea kila siku mpaka mimba jua ni zaidi ya bahati mbaya. So alifanya kosa kumuacha mle ndani ya nyumba yake.

3. Sasa kwenda polisi kunasaidia nini? Hapo ni suala la mapenzi, aamke aone hakuna kitu hapo aanze kuandaa mikakati ya kuanza maisha yake.

Hii inakera sana kwanza unajau kabisa kuwa Mr anakula bila hata kinga na hako ka HG hujui kama kana ugonjwa. Yaani mimi nasikia kinyaa sana maana kwanza wanawake wengine wachafu hawajioshi vizuri, yaani nikifikiria ndio mume wangu katoka kutumbukiza mambo yake kwenye kitu kama hicho ladha inaisha kabisa
 
huyo mama naye aliyataka.

1. Mwanaume ahkuletei housegirl hata siku moja, we unajua walikubaliana nini?

2. Alipogundua alichukua hatua gani? ina maana alidhani mume wake ataacha wakati kesha onja tunda? Mwanaume kama anacheat kwa bahati mbaya ni mara moja na hamrudii huyo mwanamke but kuendelea kila siku mpaka mimba jua ni zaidi ya bahati mbaya. So alifanya kosa kumuacha mle ndani ya nyumba yake.

3. Sasa kwenda polisi kunasaidia nini? Hapo ni suala la mapenzi, aamke aone hakuna kitu hapo aanze kuandaa mikakati ya kuanza maisha yake.

Hii inakera sana kwanza unajau kabisa kuwa Mr anakula bila hata kinga na hako ka HG hujui kama kana ugonjwa. Yaani mimi nasikia kinyaa sana maana kwanza wanawake wengine wachafu hawajioshi vizuri, yaani nikifikiria ndio mume wangu katoka kutumbukiza mambo yake kwenye kitu kama hicho ladha inaisha kabisa


Yule binti alivyobanwa alisema wakati anamwambia aje huku alimwambie yeye anamtoto mmoja mama yake hayupo akimaniasha walishatengana kwa aje amsaidie kumlelea huyo mtoto.

Kwa hiyo nahisi alivyomkuta huyo mama akahisi ndo huyo mtoto aliyeambiwa nababa mwenye nyumba
 
Yule binti alivyobanwa alisema wakati anamwambia aje huku alimwambie yeye anamtoto mmoja mama yake hayupo akimaniasha walishatengana kwa aje amsaidie kumlelea huyo mtoto.

Kwa hiyo nahisi alivyomkuta huyo mama akahisi ndo huyo mtoto aliyeambiwa nababa mwenye nyumba

Huu ni uongo tena MTAKATIFU, huyo binti alijua kabisa kila kitu na walishakubaliana.

Unajau kuna baadhi ya wanaume wanacheat lakini anamwambia hawara wake kuwa amheshimu mke wake coz hataki mke ajue. so labda huyu binti baada ya kuona amepata mimba akaona limebumburuka.

Ila na huyo mama nae, mume kila siku anatoka usiku uhisi? aah vitu vingine jamani vimezidi. Alijibweteka sana mwanamke inapaswa kuwa makini kiasi haiwezekani mume kila siku anatoka usiku we hushtukii
 
baadhi ya mawazee ya humu yatakuambia yanabadili ladha, kumbe ni uzinzi tu unawasumbua....hovyo kabisa.
Ujinga si kutokwenda shule,wengi wamekwenda shule kutalii tuu wala hawajaelimika hivyo wakijibu utumbo wewe vumilia mkuu!
 
Kumega ovyo ovyo bila utaratibu maalumu lakini kama unao wako 2 ahaaa unajimegea kiutaratibu huo sio uzinzi hata vitabu vinasema uoe mpaka wa 3.
Lakini huyu mzee hapo ni fisadi wa ngono, hajaoa huyo binti.
 
Lakini huyu mzee hapo ni fisadi wa ngono, hajaoa huyo binti.

Mkuu, mi najiuliza huyo mama iweje anatorokwa usiku mara nyingi hivo mhata hastuki? kwani wanakula kidude dakika 2 ndo useme ameenda kujisaidia>

Huyo mama ni mzembe wala asilalamike😕
 
Back
Top Bottom