kwa kweli haya sio maadili ya kiTZ kuna siku watu watatembea uchi wa mnyama kwa kisingizio cha usuper star Lulu Acha hizo Hivi unajua kuwa kuna ukimwi? na je kwa kuwatega hivyo utaweza kuhimili mikwale inayoomba huku ikilia? nasema tena jirekebishe
Mkuu Shanature nahisi picha hii uliyotuwekea ni photopoint, Lulu is beaut na hii ni picha ya kupakaza tu si yake halisi, maziwa yake hayako hivi hata siku moja. jamani mbona mnamuandama hivi wakati kuna madungayembe ambao uvaaji na tabia ni chafu saaana
Hivi bila hao wanaume mijibaba kukasumbua kila siku mpaka akashindwa kuendelea kukataaa angekuwa hivi mnavyomsema, kuweni kidogo critical and objective katika analysis zetu badala ya kukashitumu kabinti haka karembo, una urembo ni urimbo kauuomba kwa mungu.
Thats what today's ladies think...! Anakua kama mzungu...!
Hebu angalia hata hao wazungu waliokaa karibu yake walivovaa kwa heshima, lakini sisi tunavaa kw akujidhalilisha kwa sababu eti tunataka kuwa kama hao wazungu...! Shame!
tatizo si kulelewa na mzazi mmoja, ni huyo mzazi mmoja kuendekeza ujinga na kujifanya anakwenda na wakati. Mimi nalea watoto wangu mwenyewe lakini wana adabu zao, na wako serious na masomo, hukuti binti yangu anatembea uchi barabarani kama haka kototo. binti yangu mdogo ana umri kama huyo na wanafahamiana sana, anamuonea huruma kutwa kwa tabia zake. Siamini kama ni umri wa mapito, wote tulitokea huko lakini hatukua na tabia kama za huyu binti kwa sababu wazazi wetu walikua serious katika kutulea.
Unajua tutaiga mpaka kula MAVI kwasababu ya upunguhani wetu..... mzungu akivaa kitu Mtz nae huyoooo....... haya bana. muigeni basi EDTON JONH kapata MTOTO.