JAMANI HILI NI TATIZO GANI?

JAMANI HILI NI TATIZO GANI?

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
504
Reaction score
209
Leo nimeenda kumtembelea bi mkubwa ambaye ni wa asili ya kihindi akaniandalia mlo!Kama mnavyojua wenzetu hao chumvi yao ni pilipili!Mara tu baada ya kula huo msosi mara mwili wote ukachemka nikahisi joto vilivyo!Ajabu tumbo likajaa gesi mno halafu nikaanza kuhisi maumivu makali mno tumboni mithili ya mtu mwenye kidonda halafu kidonda hicho kikamwagiwa maji ya moto!Mwenye kulijua hilo anisaidie maana 'ninapata shida sana'
 
Leo nimeenda kumtembelea bi mkubwa ambaye ni wa asili ya kihindi akaniandalia mlo!Kama mnavyojua wenzetu hao chumvi yao ni pilipili!Mara tu baada ya kula huo msosi mara mwili wote ukachemka nikahisi joto vilivyo!Ajabu tumbo likajaa gesi mno halafu nikaanza kuhisi maumivu makali mno tumboni mithili ya mtu mwenye kidonda halafu kidonda hicho kikamwagiwa maji ya moto!Mwenye kulijua hilo anisaidie maana 'ninapata shida sana'
Vidonda vya tumbo hivyo a.k a ulcers.Karibu ugonjwani.[emoji24]
 
Leo nimeenda kumtembelea bi mkubwa ambaye ni wa asili ya kihindi akaniandalia mlo!Kama mnavyojua wenzetu hao chumvi yao ni pilipili!Mara tu baada ya kula huo msosi mara mwili wote ukachemka nikahisi joto vilivyo!Ajabu tumbo likajaa gesi mno halafu nikaanza kuhisi maumivu makali mno tumboni mithili ya mtu mwenye kidonda halafu kidonda hicho kikamwagiwa maji ya moto!Mwenye kulijua hilo anisaidie maana 'ninapata shida sana'

Jitahidi uache Uroho / Umelo Mkuu.
 
Sasa Chakula kina pilipili kibao na wewe haujazoea yanini ufakamie?
 
Isije kuwa una ulcers mkuu.
Hebu kacheki kwa Dokta kama zimo uziwahi mapema
 
Back
Top Bottom