Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu@young_mesult Umesema kwenye Thread yako kichwa cha habari kuwa unawahi kumwaga lakini mbona maelezo yako uliyo yatoa hayafanani na kuwahi kumwaga?? Unachelewa kumwaga au una matatizo ya uume wako kuto simama wakati ukiwa na mpenzi wako ndani ya uwanja wa mpira? hebu jaribu kufafanuwa ili upate kukutibu .Ndugu zangu wapendwa.. Mie mwenzenu nikianza kumuandaa mpenzi wangu naishiwa nguvu haraka then inakua taabu kuanza mapenzi maana inabidi nisubili mpk isimame tena..NAOMBA MSAADA WENU WENZANGU am serious
Mkuu SnowBall Kuna Watu humu ndani kazi yao kuharibu thread za Watu Laiti mimi ningelikuwa Moderator wa hili Jukwaa la JF .Doctor ningewapa adhabu ya muda kutoingia jukwaa la Jf .Doctor kila anayeleta mambo ya Chit chat kwenye hili jukwaa la Jf.Doctor wanachama wana matatizo wengine wanaleta masihara ndani ya Matatizo ya mtu hicho kitu kinaniudhi sana mkuu.Tafuta threads za MziziMkavu ameyaeleza sana haya makitu...vinginevyo hapa utadanganywa tu!
Si umemuona Kongosho keshaanza kuharibu hapo juu........................au fanya alichosema watu8
Mkuu@young_mesult Umesema kwenye Thread yako kichwa cha habari kuwa unawahi kumwaga lakini mbona maelezo yako uliyo yatoa hayafanani na kuwahi kumwaga?? Unachelewa kumwaga au una matatizo ya uume wako kuto simama wakati ukiwa na mpenzi wako ndani ya uwanja wa mpira? hebu jaribu kufafanuwa ili upate kukutibu .
Mkuu SnowBall Kuna Watu humu ndani kazi yao kuharibu thread za Watu Laiti mimi ningelikuwa Moderator wa hili Jukwaa la JF .Doctor ningewapa adhabu ya muda kutoingia jukwaa la Jf .Doctor kila anayeleta mambo ya Chit chat kwenye hili jukwaa la Jf.Doctor wanachama wana matatizo wengine wanaleta masihara ndani ya Matatizo ya mtu hicho kitu kinaniudhi sana mkuu.
Mkuu SnowBall Akinijibu swali langu ninaweza kumsaidia lakini inaonyesha huyu Bwana mdogo anapiga sana Punyeto ndio tatizo lake na anapokutana na huyo mpenzi wake akisha piga goli moja hawezi tena kurudia mara ya pili hilo ndilo tatizo la vijana wengi kwa kupenda kuiga kupiga punyeto ninajaribu kuwakataza wasipige punyeto lakini wapi ukisha zoea kupiga Punyeto kuacha inakuwa ni kazi sana.Inakera sana mkuu..anyways msaidie dogo naona ana shida...
Mkuu SnowBall Akinijibu swali langu ninaweza kumsaidia lakini inaonyesha huyu Bwana mdogo anapiga sana Punyeto ndio tatizo lake na anapokutana na huyo mpenzi wake akisha piga goli moja hawezi tena kurudia mara ya pili hilo ndilo tatizo la vijana wengi kwa kupenda kuiga kupiga punyeto ninajaribu kuwakataza wasipige punyeto lakini wapi ukisha zoea kupiga Punyeto kuacha inakuwa ni kazi sana.
Mkuu SnowBall Kupiga Punyeto kuna madharamengi tu nitakuwekea hapo chini madhara ya kupiga Punyeto mojawapo unaharibu ubongo wako ukipiga punyeto. Na kutofanya Sex kwa mudaMkuu nimekusoma..hivi kumbe punyeto ina madhara kiasi hiki..kwa kweli sikujua..
BTW hivi usipokutana na mwanamke kwa muda mrefu kuna maumivu yeyote unaweza kuyasikia (mgongoni, kiunoni au mapajani)..na vipi kwa mwanamke pia??
hapa jirani yangu inapatikana jioni tu na mimi nahitaji ili nikae sawa, vipi kuinywa jioni kuna faida kama kuinywa asubuhi? maana hapa umesisitiza asubuhiPendelea kunywa supu ya kongoro na ndizi mbili kila siku asubuhi. After two weeks utaanza kuona mabadiliko.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kama sio tatizo bali ni nini mkubwa?
yah mpaka sasa bado naendelea nahako ka mchezo(punyeto)