Jamani hili ni tatizo nawai kumwaga

Ndugu zangu wapendwa.. Mie mwenzenu nikianza kumuandaa mpenzi wangu naishiwa nguvu haraka then inakua taabu kuanza mapenzi maana inabidi nisubili mpk isimame tena..NAOMBA MSAADA WENU WENZANGU am serious
Mkuu@young_mesult Umesema kwenye Thread yako kichwa cha habari kuwa unawahi kumwaga lakini mbona maelezo yako uliyo yatoa hayafanani na kuwahi kumwaga?? Unachelewa kumwaga au una matatizo ya uume wako kuto simama wakati ukiwa na mpenzi wako ndani ya uwanja wa mpira? hebu jaribu kufafanuwa ili upate kukutibu .

Tafuta threads za MziziMkavu ameyaeleza sana haya makitu...vinginevyo hapa utadanganywa tu!
Si umemuona Kongosho keshaanza kuharibu hapo juu........................au fanya alichosema watu8
Mkuu SnowBall Kuna Watu humu ndani kazi yao kuharibu thread za Watu Laiti mimi ningelikuwa Moderator wa hili Jukwaa la JF .Doctor ningewapa adhabu ya muda kutoingia jukwaa la Jf .Doctor kila anayeleta mambo ya Chit chat kwenye hili jukwaa la Jf.Doctor wanachama wana matatizo wengine wanaleta masihara ndani ya Matatizo ya mtu hicho kitu kinaniudhi sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Inakera sana mkuu..anyways msaidie dogo naona ana shida...


 
Inakera sana mkuu..anyways msaidie dogo naona ana shida...
Mkuu SnowBall Akinijibu swali langu ninaweza kumsaidia lakini inaonyesha huyu Bwana mdogo anapiga sana Punyeto ndio tatizo lake na anapokutana na huyo mpenzi wake akisha piga goli moja hawezi tena kurudia mara ya pili hilo ndilo tatizo la vijana wengi kwa kupenda kuiga kupiga punyeto ninajaribu kuwakataza wasipige punyeto lakini wapi ukisha zoea kupiga Punyeto kuacha inakuwa ni kazi sana.
 
Mkuu nimekusoma..hivi kumbe punyeto ina madhara kiasi hiki..kwa kweli sikujua..
BTW hivi usipokutana na mwanamke kwa muda mrefu kuna maumivu yeyote unaweza kuyasikia (mgongoni, kiunoni au mapajani)..na vipi kwa mwanamke pia??

 
Mkuu nimekusoma..hivi kumbe punyeto ina madhara kiasi hiki..kwa kweli sikujua..
BTW hivi usipokutana na mwanamke kwa muda mrefu kuna maumivu yeyote unaweza kuyasikia (mgongoni, kiunoni au mapajani)..na vipi kwa mwanamke pia??
Mkuu SnowBall Kupiga Punyeto kuna madharamengi tu nitakuwekea hapo chini madhara ya kupiga Punyeto mojawapo unaharibu ubongo wako ukipiga punyeto. Na kutofanya Sex kwa muda

mrefu kusababisha wewe Mwanamme kupatwa na baadhi ya maradhi ya wasiwasi,hasira za ajabu,mwili kuwa dhaifu kwa kiasi fulani kuchoka choka kimwili kuumwa na kwa mgongo au kiuno au hivyo unavyosema mapajani mimi yote yamesha

wahi kunikuta nimewahi kukaa miaka 5 pasipo na kutofanya Sex nikajikuta mwili wangu unakuwa ni baridi kiuno hakiishi kuniuma pasipo na sababu, kuwa na hasira hasira za ajabu Moyo kutokuwa na raha na ugonjwa wa wasiwasi na kuwa na

stress lakini nilipo kuwa nafanya sex hayo matatizo yote yaliondoka pasipo na kutumia dawa yoyote ile ya kizungu

inapendeza kama una mpenzi wako au mke wako ufanye Sex kwa uchahe kwa wili japo mara 2 kiafya itakuwa jambo la maana sana.

Negative Side Effects Of Masturbation


IS THIS REALLY A PROBLEM?

Will masturbating cause acne? If it did, 95% of guys would be walking around with a face full of zits."

My penis is mad at me. How could I write an article on the negative side effects of

masturbation? He thinks I’m a traitor and switched teams. I hope he doesn’t take it out

on me and be a passive-aggressive limp noodle for my next sexcapade. But how much

do we really know about masturbation and its side effects? Sure, we know

masturbation feels good -- that’s a gimme. There are nearly endless techniques for

experiencing the pleasure of masturbation
, but what else can it do to us? Playing with

ourselves can help us fall asleep, reduces headaches and stress, anxiety and

tension, it’s great for immune functioning, increasing endorphin production, and is so

good for our prostates. But is there anything else we should be looking out for

besides Kim Kardashian’s next Carl’s Jr. commercial?


The negative side effects of masturbation your parents believed



There’s a lot of history behind the negative side effects of masturbation. Since man

could grab his pecker and stroke it, people have been coming up with myths that it’s

bad for you. Will masturbating cause acne? If it did, 95% of guys would be walking

around with a face full of zits. Masturbation must cause sterility, right? While it’s

true that having consecutive ejaculations will reduce your sperm count and the

volume of semen compared to the first ejaculation, your testes are a factory for

sperm production and masturbation isn’t going to close this factory down. Does

masturbation cause hairy palms? I don’t even understand this one; is semen Miracle-

Gro? The same can be said for blindness, insanity and a whole host of other myths that

have been proved false by medical science.

So there have to be some negatives, right? Masturbation itself is harmless and there are no proven long-term physical issues with moderate masturbation habits. However,

we can all experience some side effects, whether they are short-term, long-term or related to chronic masturbation habits.


Touching breeds unwanted familiarity



One side effect of masturbation is that subsequent ejaculations will take longer. If

you masturbate a few times before a date and, hopefully, proceed to have sex, you’ll

probably find more difficulty reaching climax. Thankfully, giving our penis a day or

two to recharge should do the trick. In addition, we each know the secrets to getting

ourselves off. Masturbating can sometimes create an individual orgasm effect

where we train our bodies to respond to our own familiar touch and have a reduced

response to other people’s touch, resulting in a tougher time reaching climax with

others. A lot of guys can relate to this.

Dr. Chaves discusses the possible negative side effects of masturbation further…




 
Last edited by a moderator:
There’s little evidence that too many erections or masturbation will have an effect on your erection in the future.
Our hard-ons may also be affected by masturbation as well. After each ejaculation, you’ll notice the firmness of the next erection may

get slightly softer and spongier, depending on how close apart the erections are. There’s little evidence that too many erections or

masturbation will have an effect on your erection in the future. There’s a wealth of evidence that points to age, diet, smoking, and

cardiovascular health as factors that affect your beat-meat getting stiff. Another side effect of masturbation is abrasions or swelling of the

penis. Some people have rough hands, calluses, use vigorous strokes, or don’t use lube. Ouch!


Masturbation and guilt


Masturbation can also have a negative psychological impact on a person. Many people feel shame and guilt because of their

masturbation habits. Whether it’s a cultural, religious or moral issue, people can be very hard on themselves. The tug of war between

what feels natural and pleasurable versus what they were told to refrain from can have lasting harmful effects on a person’s self-esteem,

confidence and self-love. Psychosomatic effects can also occur, where physical symptoms are the result of psychological factors

(feeling shame, guilt, anxiety can manifest into things like headaches, back pain, chronic pain, etc).


The problems with chronic masturbation


Biologically, chronic masturbating can
affect our brainand body chemistry because it can overproduce sex hormones and

neurotransmitters. This overproduction impacts each person differently, and can range from fatigue, pelvic pain, vision changes, lower

back pain, testicular pain, or hair loss. There is current research that states increased testosterone production is linked to DHT

production, which is associated with
male pattern hair loss.

However, we have to be careful of the conclusions we extrapolate from research. I still need more evidence to believe hair loss because

correlation doesn’t imply causation. Did you know large
consumptions of alcohol reduce testosterone production? So does this imply

that drinking booze will reduce my testosterone levels, subsequently
DHT levels, and stop my hair from falling out? Doubtful -- I’d just be

bald and drunk. If you notice any of these effects, try cutting back on your masturbation habits for a few months and see if it helps alleviate your symptoms. If the symptoms are still there, you might as well keep tugging away and see a doctor for a medical checkup.

Compulsive masturbation can also negatively affect a person. What’s compulsive masturbating? There’s no set number of times; it’s

associated with a person having difficulties in his life resulting from his masturbation habits. One guy masturbates six times a day and

feels productive and great while the other feels the exact opposite. Compulsive masturbation can negatively affect your work,

relationships, self-esteem, finances, social support, and have legal problems if you’re not able to find a balance between being

responsible in life and satisfying your pleasures and desires.

where do you get off?


I hope I didn’t turn you off from masturbating. It’s a wonderful thing and one of the greatest gifts you can offer yourself. There are positives

and negatives to everything in life: sex,
singlehood, driving a car, being in a relationship, and working. We have to make sure the good

outweighs the bad to find happiness.

Source. Negative Side Effects Of Masturbation - AskMen

 
Pendelea kunywa supu ya kongoro na ndizi mbili kila siku asubuhi. After two weeks utaanza kuona mabadiliko.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hapa jirani yangu inapatikana jioni tu na mimi nahitaji ili nikae sawa, vipi kuinywa jioni kuna faida kama kuinywa asubuhi? maana hapa umesisitiza asubuhi
 
yah mpaka sasa bado naendelea nahako ka mchezo(punyeto)


kwanza kabisa unatakiwa kuacha huu mchenzo kabsa ndipo uje uombe ushauri wa kutbu tatzo lako!!!
Daktar hata akikupa dawa ya malaria lkn
kama unalala nje ya net kaz bure!!!
 
Napenda kuwapa ufahamu wa namna ya kupambana na tatizo kama lilivyojieleza hapo kwenye kicha cha habari. Watu wengi wana tatizo na wanakuwa hawapati njia sahihi ya kupambana na tatizo. Hii hapa ndiyo njia sahii. Fuatilia maelezo haya kwa umakini. Yote haya ni muhimu kuondoa kabisa tatizo.

MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;


  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum

Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;


  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid

Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.


  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).

Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM


  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo


WASIOPASWA KUTUMIA


  • Wajawazito
  • Wanaonyonyesha
  • Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
  • Watoto chini ya miaka 14




REVIVE

Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.

KAZI YA REVIVE


  • Kuongeza libido(ashiki au nyege)
  • Kutibu impotence(mahanisi)
  • Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37’’C.
  • Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
  • Kutibu maumivu ya kiuno
  • Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
  • Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
  • Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa


CA + FE + ZI PLUS


  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA


  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA


  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI


  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.


Yeyote mwenye swali/anayetaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama za CA+FE+ZI Plus ni 51000/- Magilim ni 62500/- na REVIVE ni 60500/-
 
Nadhani huwa unapania sana,na kushindwa kumudu hisia na mawazo yako.
Unapoiingiza unapaswa utulie na ujitambue kuwa akili yako na kiungo chako viko kazini,vyapaswa kushirikiana bila kimoja kumuacha mwenzake.

Push and roll kwa pause,isiwe non-stop na kwa haraka kama sungura...punguza speed na waweza zungumza na mwenzako kwa mahaba ili kukatisha kumaliza mapema...leo kidogo tu,kajaribu uone.
 
Napenda kuwapa ufahamu wa namna ya kupambana na tatizo kama lilivyojieleza hapo kwenye kicha cha habari. Watu wengi wana tatizo na wanakuwa hawapati njia sahihi ya kupambana na tatizo. Hii hapa ndiyo njia sahii. Fuatilia maelezo haya kwa umakini. Yote haya ni muhimu kuondoa kabisa tatizo.

MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;


  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum

Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;


  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid

Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.


  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).

Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM


  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo


WASIOPASWA KUTUMIA


  • Wajawazito
  • Wanaonyonyesha
  • Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
  • Watoto chini ya miaka 14




REVIVE

Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.

KAZI YA REVIVE


  • Kuongeza libido(ashiki au nyege)
  • Kutibu impotence(mahanisi)
  • Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37’’C.
  • Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
  • Kutibu maumivu ya kiuno
  • Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
  • Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
  • Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa


CA + FE + ZI PLUS


  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA


  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA


  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI


  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.


Yeyote mwenye swali/anayetaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama za CA+FE+ZI Plus ni 51000/- Magilim ni 62500/- na REVIVE ni 60500/-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…