bidam90 JF-Expert Member Joined Aug 28, 2013 Posts 273 Reaction score 202 Dec 21, 2016 #21 solanum said: Habari zenu wataalamu, mimi ni kijana wa miaka 26 hivi karibuni nashangaa nikienda kujisaidia haja kubwa natokwa na manii, je hili ni tatizo? Click to expand... Hapana mkuu hilo sio tatizo!!Huwa inatokezea sana ukiwa hujakutana kimwili na mwanamke muda mrefu,hupati ndoto za usiku au sio mfanyaji wa punyeto!manii zinajaa nyingi hivyo ukijisaidia tu haja ndogo au kubwa nazo zinatoka!!
solanum said: Habari zenu wataalamu, mimi ni kijana wa miaka 26 hivi karibuni nashangaa nikienda kujisaidia haja kubwa natokwa na manii, je hili ni tatizo? Click to expand... Hapana mkuu hilo sio tatizo!!Huwa inatokezea sana ukiwa hujakutana kimwili na mwanamke muda mrefu,hupati ndoto za usiku au sio mfanyaji wa punyeto!manii zinajaa nyingi hivyo ukijisaidia tu haja ndogo au kubwa nazo zinatoka!!
NZURI PESA JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 5,958 Reaction score 2,954 Dec 22, 2016 #22 solanum said: Habari zenu wataalamu, mimi ni kijana wa miaka 26 hivi karibuni nashangaa nikienda kujisaidia haja kubwa natokwa na manii, je hili ni tatizo? Click to expand... jinsia yako mkuu mambo mengine huja kwa aina fulani ya jinsia
solanum said: Habari zenu wataalamu, mimi ni kijana wa miaka 26 hivi karibuni nashangaa nikienda kujisaidia haja kubwa natokwa na manii, je hili ni tatizo? Click to expand... jinsia yako mkuu mambo mengine huja kwa aina fulani ya jinsia
S solanum JF-Expert Member Joined Jul 28, 2015 Posts 203 Reaction score 99 Dec 27, 2016 Thread starter #23 Sawa mkuu nakushukuru kwa jibu lako zuri maana sijawahi kufanya mapenzi KAMINYINGE said: hii huwa inatokea pale unapokuwa hujafanya mapenzi siku nyingi unapojisaidia kabla mkojo haujatoka zinatoka mani kidogo kisha mkojo,!! Click to expand...
Sawa mkuu nakushukuru kwa jibu lako zuri maana sijawahi kufanya mapenzi KAMINYINGE said: hii huwa inatokea pale unapokuwa hujafanya mapenzi siku nyingi unapojisaidia kabla mkojo haujatoka zinatoka mani kidogo kisha mkojo,!! Click to expand...