Ukifuata ushauri kama huu..ujue umepotea moja kwa moja na utachanganyikiwa utakapoinga kwenye ndoa.Hebu tuchambue kidogo tuone madhara ya ushauri huu:Mimi sijaoa bado lakini jambo hili linanitatiza sana sijui nyie waungwana mnalionaje. Ni hivi kuna rafiki zangu waliooa wanasema kuwa eti ili mwanaume utulie kwenye ndoa yako ni lazima kabla hujaoa uwe umeshafanya ngono na Changudoa, Shoga, visichana vya under 18, mke wa mtu mwingine n.k ili ukiingia kwenye ndoa akili yako itulie na vyote hivi visikuzuzue, hii imekaaje jamani?
Mimi sijaoa bado lakini jambo hili linanitatiza sana sijui nyie waungwana mnalionaje. Ni hivi kuna rafiki zangu waliooa wanasema kuwa eti ili mwanaume utulie kwenye ndoa yako ni lazima kabla hujaoa uwe umeshafanya ngono na Changudoa, Shoga, visichana vya under 18, mke wa mtu mwingine n.k ili ukiingia kwenye ndoa akili yako itulie na vyote hivi visikuzuzue, hii imekaaje jamani?
Asanteni kwa mchango wenu, huu ni mtazamo wao tu kwamba kabla hujaamua kutulia kwenye ndoa basi ni lazima angalau uwe umeexperience aina tofauti za ngono
hahahaaa!!Kwa changudoa tunaweza sema unatafuta uzoefu kama hujapitia mahusiano kabla,under 18 anatafuta kufungwa na labda kulawitiwa huko,hilo la shoga wala usihangaike kwakuwa ukifumwa na mke wa mtu itabidi we mwenyewe upitie ushoga kabla ya kuachiwa.
Mimi sijaoa bado lakini jambo hili linanitatiza sana sijui nyie waungwana mnalionaje. Ni hivi kuna rafiki zangu waliooa wanasema kuwa eti ili mwanaume utulie kwenye ndoa yako ni lazima kabla hujaoa uwe umeshafanya ngono na Changudoa, Shoga, visichana vya under 18, mke wa mtu mwingine n.k ili ukiingia kwenye ndoa akili yako itulie na vyote hivi visikuzuzue, hii imekaaje jamani?