upo sahihi mkuu,umeleweka vzr sana,big upni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo sahihi mkuu,umeleweka vzr sana,big upni kweli
walimu wa tamisemi wote gross570000 wakikata unapata 46oooo hivi,ila walimu wanaofundisha kibaha boys,kibaha girls na tumbi wanalipwa vizuri sana mweny degree gross milion 1 na laki 2 ,diploma 64oooo hiz shule hazipo chin ya wizara ya elimu,zipo chini ya mashirika ya umma chini ya ofis ya waziri mkuu.na wanajiri kupitia sekretarieti ya ajira kwa interview,jamaa wanalipwa vzr na kupata chance lazima uwe vzr kidogo,ahsanteniMshahara wake ni shing ngapi???
Mi hata sijui siku moja hv numepita huku ndo nikakumbana na huu utoto lol
nenda kaangalie matokeo ya C.P.A!
Hahahah wewe ndio mzembe wa kwanza nimesoma special schools(mzumbe na taboraboys) nimepiga one form4 na advance laiti ungekuwa unanijua physically usingeandika takataka zako humu jamvini! wewe ni dhaifu sana kifikra,kiuelewa na kiakili! !
cc. Excel kwa ajili ya kutuwekea picha ya Le professeri huyu.
Kumbe walikutana huko,wakazinguana dogo mpigamsuri akakomaa mwisho akawa mbishi na jeuri,sema akawa achagui wa kumpalamia...nashukuru ajawai nivunjia eshima,nakumbuka ni miongoni ya watu tulimkalibisha JF mpigamsuri wakati huo anasubiri majibu ya form six
Ha ha ha haaaa
Mkuu inatosha jamani kashajifunzaaa
Mkuu hebu tulia kwanza kijana apewe za uso, kama anataka kuzima huu moto inabidi ajitokeze aombe radhi, vinginevyo leo ni siku yake ya kuanikwa.
Ha ha ha
Inatosha banaaaaa
Nimemwendea PM dogo kasawajika sana...
Mpeni break lol
Nimeanza kucheka mpaka naonekana wa ajabu hapa nilipo
nenda kaangalie matokeo ya C.P.A!
Hahahah wewe ndio mzembe wa kwanza nimesoma special schools(mzumbe na taboraboys) nimepiga one form4 na advance laiti ungekuwa unanijua physically usingeandika takataka zako humu jamvini! wewe ni dhaifu sana kifikra,kiuelewa na kiakili! !
walimu wa tamisemi wote gross570000 wakikata unapata 46oooo hivi,ila walimu wanaofundisha kibaha boys,kibaha girls na tumbi wanalipwa vizuri sana mweny degree gross milion 1 na laki 2 ,diploma 64oooo hiz shule hazipo chin ya wizara ya elimu,zipo chini ya mashirika ya umma chini ya ofis ya waziri mkuu.na wanajiri kupitia sekretarieti ya ajira kwa interview,jamaa wanalipwa vzr na kupata chance lazima uwe vzr kidogo,ahsanteni