TUMESITISHA KUAJIRI WATU WALIOSOMA Udom degree ya education
479,000 baada ya makato
Mimi Asiponiomba Msamaha Physically Nimemuahidi Disco Pale Muccobs,anajua Nishamwambia,siku Moja Ataleta Lawama Humu,
Acha weu
mpiga msuli mbona huwa unajitapa sana? Unapesa sana, una IQ kubwa sana, unajua kila kitu au upumbavu unakusumbua? Unajadili vyuo kutwa kila mara kuponda vyuo vingine kwa kuwa unachosoma alikijenga baba yako au? Acha ulimbukeni wewe, muda si mwingi utashusha heshima yako na utaonekana mtu wa ovyo ovyo. Sijawahi kuandika thread kama hii ila leo nimeona nikuambie acha ushamba wewe. Thread inauliza nini na wewe umeandika nini?
Majibu muombe mpigamsuli
!!!!!?
Nambie Mkuu
Ha ha ha ha
Chezea #team rekebisha tabia wewe...
Jana heshima imerudi hata tuliowatia kifungoni wakitoka watatia adabu...
Nawewe ukiendelea tutaweka kile kibanda chenu mnachoishi na matokeo yako yote ndo mtaacha utoto we endelea watu wazame kwenye IP address
TUMESITISHA KUAJIRI WATU WALIOSOMA Udom degree ya education
Duh kumbe umesoma UDOM a.k.a chuo cha kata
mpiga msuli mbona huwa unajitapa sana? Unapesa sana, una IQ kubwa sana, unajua kila kitu au upumbavu unakusumbua? Unajadili vyuo kutwa kila mara kuponda vyuo vingine kwa kuwa unachosoma alikijenga baba yako au? Acha ulimbukeni wewe, muda si mwingi utashusha heshima yako na utaonekana mtu wa ovyo ovyo. Sijawahi kuandika thread kama hii ila leo nimeona nikuambie acha ushamba wewe. Thread inauliza nini na wewe umeandika nini?