Jamani hivi na nyie mnaona kuwa Vodacom ni mtandao gharama sana au ni njaa zangu mwenyewe?

Jamani hivi na nyie mnaona kuwa Vodacom ni mtandao gharama sana au ni njaa zangu mwenyewe?

Ningekuwa na uwezo,ningeuza hii smartphone nibaki na simu ndogo.
Ila siwezi.kukaa bila smart phone.nikipiga hesabu za 3,000 kila siku unaweza kufika laki kwa mwezi.
 
Kwa kweli hawa jamaa in just short time unapata meseji ya "umetumia 75% ya bundle lako."

Tsh 2500 au Tsh 3000 ndio options za bundle za wiki jumuishi ya data na dakika.

Tsh 3000 unapata gb 1.4 kwa wiki ya internet.

Vipi mitandao mingine au gharama ni kama hizi hizi?
Hawa bundle linaliwa sana
 
Kwa kweli hawa jamaa in just short time unapata meseji ya "umetumia 75% ya bundle lako."

Tsh 2500 au Tsh 3000 ndio options za bundle za wiki jumuishi ya data na dakika.

Tsh 3000 unapata gb 1.4 kwa wiki ya internet.

Vipi mitandao mingine au gharama ni kama hizi hizi?
Vodacom wana huduma bora lakin expensive. Kitu bora kinakuja na gharama
 
Voda ni gharama lakini huduma ni Bora sio kama airtel au TIGO mtandao wanataka
Tigo ndio wezi balaa bundle la wiki ukijiunga 1GB ni 2100 ila kuingia instagram na youtube ni mwiko. Ukijiachia tu youtube dakika 15 nyingi majibu lazma upate.
 
Back
Top Bottom