Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika mitandao ya hovyo huu no. 1Hamieni airtel wakuu huku full bata.
Kwanini mkuu mimi laini zote ninazo na kwa sasa nipo airtel.Katika mitandao ya hovyo huu no. 1
Hawa bundle linaliwa sanaKwa kweli hawa jamaa in just short time unapata meseji ya "umetumia 75% ya bundle lako."
Tsh 2500 au Tsh 3000 ndio options za bundle za wiki jumuishi ya data na dakika.
Tsh 3000 unapata gb 1.4 kwa wiki ya internet.
Vipi mitandao mingine au gharama ni kama hizi hizi?
Asante boss115k
Vodacom wana huduma bora lakin expensive. Kitu bora kinakuja na gharamaKwa kweli hawa jamaa in just short time unapata meseji ya "umetumia 75% ya bundle lako."
Tsh 2500 au Tsh 3000 ndio options za bundle za wiki jumuishi ya data na dakika.
Tsh 3000 unapata gb 1.4 kwa wiki ya internet.
Vipi mitandao mingine au gharama ni kama hizi hizi?
🤣🤣🤣🤣Kuna huyo halotel sasa gb unapewa za kutosha ila network ukatafute mwenyewe.
AahaaaaahKuna huyo halotel sasa gb unapewa za kutosha ila network ukatafute mwenyewe.
Ni watu fulani njaa njaa hiviWatu mnaotumia halote sijui huwa nawaonaje yani..kama watu flani hivi mlilojikatia tamaa ya maisha
Tigo ndio wezi balaa bundle la wiki ukijiunga 1GB ni 2100 ila kuingia instagram na youtube ni mwiko. Ukijiachia tu youtube dakika 15 nyingi majibu lazma upate.Voda ni gharama lakini huduma ni Bora sio kama airtel au TIGO mtandao wanataka