Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Kuna kazi nyingine sidhani kama wahusika zilizomo zimo! Ukishuka kwenye usafiri wa umma mbezi mwisho na ikatokea ukawa na kabegi, jinsi ambavyo unadakwa na wapiga debe sio poa! (si mwanaume si mwanamke)!
Daaah! Wengine wakiona gari la mbagara wanaanza kugombania abiria wakiwa ndani ya basi "yule wa kwangu aliyekaa siti ya nyuma"?
Utadhani walihaidiana kuwa naenda mikoani? Hivi kazi kama hii kweli unapata shilling ngapi? Akili zimeenda wapi?
Daaah! Wengine wakiona gari la mbagara wanaanza kugombania abiria wakiwa ndani ya basi "yule wa kwangu aliyekaa siti ya nyuma"?
Utadhani walihaidiana kuwa naenda mikoani? Hivi kazi kama hii kweli unapata shilling ngapi? Akili zimeenda wapi?