Mtu_Mzima
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 1,164
- 1,134
Salam wana JF
Nimekuwa nikiugulia maumivu ya makato ya mtandao wa voda ambayo yanepanda kimya kimya na sijui kama ni kwa bsraka za tume ya maeasiliano au tunalipia zile faini walizotozwa.
Mfano
KUTOA.
KIASI GHARAMA
400,000 ..7,000
250,000 ..5,300
800,000 ..8,000
600,000 ..8,000
1,000,000 ..8,000
KUTUMA
120,000 ..1,000
510,000 ..2,200
650,000 ..3,300
20,000 ...365
Jamani hebu nipeni uzoefu wa mitandao mingine ili nijue hatua za kuchukua.
Nimekuwa nikiugulia maumivu ya makato ya mtandao wa voda ambayo yanepanda kimya kimya na sijui kama ni kwa bsraka za tume ya maeasiliano au tunalipia zile faini walizotozwa.
Mfano
KUTOA.
KIASI GHARAMA
400,000 ..7,000
250,000 ..5,300
800,000 ..8,000
600,000 ..8,000
1,000,000 ..8,000
KUTUMA
120,000 ..1,000
510,000 ..2,200
650,000 ..3,300
20,000 ...365
Jamani hebu nipeni uzoefu wa mitandao mingine ili nijue hatua za kuchukua.