Jamani hizi tetesi leo zimezaaga, nisaidieni

Jamani hizi tetesi leo zimezaaga, nisaidieni

zanzibardefi

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
283
Reaction score
43
Division zimefutwa saiv matokeo yanatoka kwa mfumo GPA ambapo imegawanyika kuna
1.distinction 3.7-5.0
2.merit 3.0-3.6
3.credit 1.7-2.9
4.pass 0.7-1.6
5.fail 0.0-0.6

na pass ni ufaulu wa chini na m2 anatakiwa kupata angalau daraja la D,C,B,B+,A ndo anakuwa kafaulu ikiwa na mfumo wa GPA daraja A=5,B+=4,B=3,C=2,D=1,E=0.5,F=0.na itaanza kutumika kwa matokeo ya mwaka huu form six.
😈😢
 
duh kazi ipo, badala ya kuboresha viwango vya ufundishaji wana cheza na jinsi ya kumfanya alie fail afaulu. poor Tanzania
 
Hiyo ni kuanzia mwakani 2015 na waraka tayari upo mashuleni au nani kakuambia hayo?
 
Tayari upo ulishaanza kutumika kwa form four waliopata results this year...na utaendelea kwa form six wanaosubiri matokeo
 
Tayari upo ulishaanza kutumika kwa form four waliopata results this year...na utaendelea kwa form six wanaosubiri matokeo

sasa kwa wale ndugu zetu waliorisit masomo machache itakuaje hapo mkuu? na ili wafaulu na kupata chuo ni alama gani zitazingatiwa?
 
sasa kwa wale ndugu zetu waliorisit masomo machache itakuaje hapo mkuu?na ili wafaulu na kupata chuo ni alama gani zitazingatiwa?

Chuo ya chini kabisa ni C then 30% ni continous assesment na mthihani wa mwisho unaweight ya 70%
 
mbona siyo tetesi ni confirmed barua ya maelekezo tunayo tangu April watakaoanza na mfumo huo mpya ni form watakao maliza November mwaka huu na form six mwakani name kuendelea
 
Chuo ya chini kabisa ni C then 30% ni continous assesment na mthihani wa mwisho unaweight ya 70%

sasa mkubwa let say nimepata D kwenye masomo yangu yote hapo nitaenda wapi? je ni fld,diploma au university
 
sasa mkubwa let say nimepata D kwenye masomo yangu yote hapo nitaenda wapi? je ni fld,diploma au university

Kwa advance adi upate C ndo utakuwa naprincipal coz C inaanzia 40-49' so ukiwa na D (30-39) ni pass
 
sasa mkubwa let say nimepata D kwenye masomo yangu yote hapo nitaenda wapi? je ni fld,diploma au university

Mkata majani anahitajika mahali fulani.
Yaani ukae miaka minne shule then upange "D" mwanzo mwisho!!!!??
 
Back
Top Bottom