Jamani Hodi nyumba hii

Jamani Hodi nyumba hii

Chiomaizwe

Member
Joined
Apr 9, 2015
Posts
24
Reaction score
41
Wana jamvi hodi hapa kwenu.
Mie ni mgeni ila nimekuwa naperuzi kwa muda mrefu sana humu ndani kama mgeni leo nimeona sasa jiwe mwanachama. Naombeni mnipokee.

Naahidi kuwa mwanabodi mwema, na sitotumia lugha zozote mbaya ama kumdhalilisha mtu niwamo humu ingawa pia naheshimu sana uhuru wa kuongea. Ni muumini mzuri sana wa uhuru wa mtu, heshima ya mtu na kuthamini utu wa mtu.
Ahsanteni sana

Chioma
 
Back
Top Bottom