jamani hofu ya nini interview dodoma?????

jamani hofu ya nini interview dodoma?????

Wangeitwa wachache watu wangeanza lalamika humu ndani...mara udini...uchama nk...
hapana,
Waitwe wachache na waendana na nafasi zilizotangazwa ,unawezaje ita 2500 watu kwa nafasi 12?...haileti maana
 
UDOM walitaka kumpa opportunity kila mmoja so mauwezo yako ulionesha kwenye pepa ndo yatakutoa.....tusilalamike eti pepa ngumu, ingekuwa nyepesi angefeli nani na watu mko wengi.......
 
Back
Top Bottom