Jamani huyu Beka Flavour ni hatari

Jamani huyu Beka Flavour ni hatari

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Kipindi ametoka na ngoma zake mbili za kwanza 'Libebe' na 'Sikinai' nilihisi amebahatisha hivyo sikumpa attention kubwa kivile, ila kwa sasa nimejisajili kuwa fan wake rasmi, this man is [emoji91] [emoji91] [emoji91], anajua mnoo.

Mpangilio wa mashairi uko njema, melody tamu, sauti ndio usiseme (anafanana na Mwinjuma Muumin sauti na sura).

Hadi sasa nimegundua Yamoto band ilikuwa na vichwa viwili hatari sana (Aslay na Beka), namtakia kila la heri kwenye muziki wake...



 
Beka Flavor nilimkubali tangia akiwa Yamoto na binafsi naamini Aslay ana nyota lakini mbele ya Beka Flavor anasubiri!

Hata hawa wakali wetu akina Chibu na Kiba; kwangu wanasubiri mbele ya Beka Flavor! Jamaa ana vocal za hatari hadi naogopa!!

Pale alipo anatakiwa kufanya marekebisho kidogo sana na baada ya hapo; tungekaa tu kusubiri another international.
 
anachoimba simuelewagi
sauti yake kali sana hadi naskip nyimbo zake

nyimbo yake nzuri ni libebe tena naisikiliza kwenye kiitikio tu
 
Aisee libebe ni bonge la ngoma aisee basi tu nyota ila huyu dogo anajua sana mpaka anaudhi
 
Matumizi ya high notes all the time wengine tuna perceive kelele all through!!..Ajaribu na low key notes kutumia!..
Umeongea kweli, hapo anapuyanga ndio mana yamoto ulikua ukiwaskia unawakubali changanya notes 4.akiwa peke yake wote hawawezi.
Mfano
Soleir Wanga alipokua quartier latin alikua balaa ukichanganya sauti yake na kina Fally, Ferre,Montana Bitus etc alipotoka solo mpk leo hatumsikii.
Hayo hayo.
Blaise Bula
Tutu Caludji
Bill Clinton "marquise"
Alain Mpela 'anajaribu'
Emilia ''yuko na Mpela wanajaribu"
Alain Makaba
Adolf Dominguez
Didier Masela
Wote hao walipotea kwenda Solo.
Waliofanikiwa
Werrason
Ferre Gola
Fally Ipupa
Heritier Wata(Huyu ana kasi ya hatari hao juu hapo wajipime)
 
Yuko vizuri lakini anaimba ki big G sana.Anahitaji watalamu wazuri wa production.
Namtakia kila la heri huko mbeleni.
 
Kipindi ametoka na ngoma zake mbili za kwanza 'Libebe' na 'Sikinai' nilihisi amebahatisha hivyo sikumpa attention kubwa kivile, ila kwa sasa nimejisajili kuwa fan wake rasmi, this man is [emoji91] [emoji91] [emoji91], anajua mnoo.

Mpangilio wa mashairi uko njema, melody tamu, sauti ndio usiseme (anafanana na Mwinjuma Muumin sauti na sura).

Hadi sasa nimegundua Yamoto band ilikuwa na vichwa viwili hatari sana (Aslay na Beka), namtakia kila la heri kwenye muziki wake...




Pale aliposema
"nyama ya kangaroo ukinipa nala"
Alikuwa na maaana ipi mkuu,
 
Nilikuwa na shauku ya kusoma kufikiri jamaa ni jambazi, kumbe Beka huyu huyu?
 
Back
Top Bottom