Jamani huyu binti yangu ataniua kwa presha....

karithi huyo fuatilieni utoto wenu wewe na mke wako

Sasa naona kibao kinatugeukia.......... Kwa mama watoto wangu naweza kukanusha moja kwa moja........... kwa kweli mke wangu hana hata chembe ya tabia hizo, ni mtulivu na sio muongeaji kihivyo. mara nyingi huji-keep low profile, na hapendi kujichanganya sana na watu......
Ni bahati mbaya nimepoteza wazazi wangu wote wawili, labda wao wangeweza kufumbua hiki kitendawili.......................
 
Kwanza alikuwa ni binti mtaratibu sana na hakupenda kuongea ongea, mara nyingi alikuwa akipenda kuangalia TV na video za katuni tu, haya mabadiliko na kibri vimeanza muda si mrefu, tuseme tangu aingie darasa la pili mwaka huu

...kibri?...pls be optimistic bana, sio kila mwanao atapoku challenge ana maanisha kibri...
anza kubadilisha mtazamo huo kwanza ndipo utapobaini jinsi gani waweza msaidia.
 
Mkaribishe humu JF tubadilishane mawazo naye, ashakua kiakili huyo.
 
Aise kaka kma mtoto basi huyu umezaa,maana si mchezo! Sijui dini yako ila kma ni mkristo biblia inaruhusu kuchapa watoto wetu,ila usichape tu bila kumwambia,mwambie kibuli kwa mama yake si kizuri akiendelea mchape,ila kwenye confidence mpe moyo aendelee ivyo ivyo, ila mfunze kuheshimu wazazi na mawazo ya watu wengine,sio kila siku yeye ndo atakua sahihi
 

mtoto anafundishwa uzazi wa mpango! dah dunia imeisha.yaani haja kimwili wala akili lkn tunachomeka plug kubwa kwenye tundu dogo.
 
malezi mabovu na kukosa adabu, ndo ubaya wa kuiga udhungu,hivi ungeku wewe enzi izo za baba yako ungefanya ivyo anavyo fanya mwanao?
 
Mbona madogo hayo? Nimeshuhudia! Sasa hivi mtoto wa darasa la saba anatumia vidonge vya uzazi wa mpango. Mimi nahisi huyo ticha anamnanilii kidogo kidogo. May be anamfundisha huyo dogo practicaly. Hapo umeumia. Mwamishe shule.
 
Mtambuzi, pole kwa yanayotokea hapo kwako. Kwa mawazo yangu. Ninaona umepata mtoto mwenye upeo wa tofauti kiakili. Akili alizonazo si za level yake ''genius''. Ingawa kuna masuala mazito ya kitaalamu sana yanaweza pia kuwa sababu.
 
Mtambuzi,wala usifikie mawazo mabaya ya kumchapa hata kidogo isipokua la msingi mueleze kuheshimu wakubwa hasa nyie wazazi wake pindi mjadilipo jambo lakn wakati huohuo ni vema ukaelewa huyo mwanao ana akili sana maana kuna watoto wengine umri kama huo lakn ukiwa kama mzazi unahisi kwamba hapa hakuna kitu ila zaidi kama wewe ni mkristo au muislam jitahidi awe anapata muda wa kwenda kwenye mafundisho ya dini baada ya kutoka shule,nina uhakika ana uwezo mkubwa huyo mwanao wa kuelewa mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…