Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

Isee hii story bila video hainogi,,, tupia kavideo kidogo tujionee uhalisia mkuu ili nasi tumuelewe kwanza alaf ndo tukushauri chakufanya kama humuelewi (true love is so hard to find, no money no love, work hard earn more money,, philosophically a woman is a dynamic creature hard to understand what woman wants, what do they think and why do they act so in a permanent world)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua anakuenjoy tu wala hana time na ww kuna kidume knasimamia ukucha apo
 
anataka attention yako cha msingi jifanye kauzu ndo utafaidi hivi viumbe
 
Habari za saa hizi wana jukwaa.

Kwanza nikiri kabisa, nimekuwa single kwa mda mrefu na hii ni kutokana na kukataliwa na waschana wengi niliokuwa nikiwatongoza. Baada ya hapo nikaamua kupotezea mchongo wa mahusiano so sikutaka kujihusisha kimahusiano na msichana yeyote.

Sasa juzi hapa kazini kwetu alikuja msichana fulani kufanya field ambapo wakati anaanza field mie nilikuwa likizo hivyo nilikuja kurudi kazini nikakuta kashakuwa mwenyeji na kashazoeana na watu hapa kazini.

Mara ya kwanza hatukuzoeana sana nae, hivyo zaidi ya salamu tulikuwa hatuzungumzi kitu ila ni mtu fulani muongeaji sana (yaani sana) kwahiyo alikuwa ananiongelesha mambo madogo madogo kama 'Joel mida ya kuondoka imefika, vipi bado upo?' sasa katika kuzungumza mambo madogo kama hayo akawa ameanza kunizoea hivyo akaanza kuniletea utani wa hapa na pale.

Sasa kuna kipindi pale kazini kulikuwa na tukio maalumu kwahiyo wafanyakazi walikuwa wanakuja wachache tena vijana tu, wale wengine walikuwa wanaenda huko kwenye hilo tukio. Kwa nafasi hiyo ya watu kuwa wachache akawa ananiletea utani flani hivi ambao ulianza kunistua na kuamsha hisia zangu.

Alikuwa ananiita na kuanza 'Joel, daah nimekumiss sana' akinambia hivo namchunia mara 'Joel, kwani mi huwezi kunioa? Nna kasoro gani?' au wakati mwingine anasema: 'Joel, I love you' au anaweza sema 'Joel, nakosa usingizi kwa ajili yako', sasa mie nilikuwa nachukulia utani ila nikaanza kuhisi labda anamaanisha ila anashindwa kusema siliasi.

Kingine kuna rafiki yake pale kazini aliwahi kumtuma aje aniambie kuwa ananitaka ila huyo rafiki ake utani mwingi so alinambia kiutani utani. Sasa sijui alikuwa siliasi kumtuma huyo rafiki yake au la?

Basi nikaanza mchakato wa kumfukuzia ili nimpate, shida ikaanzia hapo, nikimwita niongee nae faragha anakataa anasema 'njoo wewe' wakati anajua kuwa anapokaa yeye pale kazini wanakaa kibao so siwezi kuongea nae faragha. Nikimwita wakati wa kutoka anasema nna haraka nataka niondoke. Nikaona isiwe tabu ngoja nimuombe namba ili weekend niombe appointment sasa ikawa kila nikiomba appointment anakataa mara 'oooh nna kazi nyingi' basi jumamosi flani nikaamua nimpigie simu nimtongoze, nikamtongoza anakanambia namtania then simu akakata simu. Kesho jumapili nikampigia simu hakupokea nikamtumia sms hakujibu nikampigia tena mara kibao hakupokea. Nikaamua nimpotezee, Jumatatu anafika, akaanza tena shobo zake 'Joeeel, nimekumisi' nikamlia bati(nikamchunia).

Nilipoona anashobo sana na nimekula bati nikahisi labda anataka ila hataki kutongozwa kwenye simu, nikaaza kumwita tena faragha akawa anazingua. Akazingua hivyovyo mpaka umefika mda wa field kuisha akaondoka.

Sasa baada ya kuondoka nilimpigia simu akapokea mara moja tu ila akanambia hatuwezi kuongea yuko bize nikamwambia ntakupigia kesho. Kesho imefika hapokei simu wala hajibu sms mpaka leo hii.

Kiukweli ni mzuri sana tu, halafu mweupeee, chotara flani hivi la kiarabu, hiyo shepu ndo usiseme kwahiyo na mi nampenda. Ila sasa mpaka sa hivi hapokei simu wala hajibu text sasa wakuu hebu nishaurini nifanye nini ili apokee simu yangu maana mie nshaoza kwake Dah!

Natamani apokee simu niongee nae nimuombe date ila ndo hivyo hapokei, text ndo hajibu kabisaaa nimetuma karibia kumi. Sasa mie sitaki kumwacha naombeni mnishauri cha kufanya ili nimpate.

Ananiumiza sana kichwa aiseee, leo kutwa nzima namuwaza yeye.

Mnisamehe kama nimewakwaza kwa kuandika maneno mengi.

Nashkuru kwa ambao mtanishauri vizuri bila kunitukana au kunidhihaki.
Wahenga wlisema fimbo ya mbali haiuwi nyoka,fanya kazi huyo ana bhana na alitaka tu akuchene kipindi yuko field ila hakuna upendo hapo jiongeze mtoto wa kiume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utakuwa unakimavi mkuu.....haiwezekani wewe tu ndo ukawa anakataliwa na wanawake tu
 
Habari za saa hizi wana jukwaa.

Kwanza nikiri kabisa, nimekuwa single kwa mda mrefu na hii ni kutokana na kukataliwa na waschana wengi niliokuwa nikiwatongoza. Baada ya hapo nikaamua kupotezea mchongo wa mahusiano so sikutaka kujihusisha kimahusiano na msichana yeyote.

Sasa juzi hapa kazini kwetu alikuja msichana fulani kufanya field ambapo wakati anaanza field mie nilikuwa likizo hivyo nilikuja kurudi kazini nikakuta kashakuwa mwenyeji na kashazoeana na watu hapa kazini.

Mara ya kwanza hatukuzoeana sana nae, hivyo zaidi ya salamu tulikuwa hatuzungumzi kitu ila ni mtu fulani muongeaji sana (yaani sana) kwahiyo alikuwa ananiongelesha mambo madogo madogo kama 'Joel mida ya kuondoka imefika, vipi bado upo?' sasa katika kuzungumza mambo madogo kama hayo akawa ameanza kunizoea hivyo akaanza kuniletea utani wa hapa na pale.

Sasa kuna kipindi pale kazini kulikuwa na tukio maalumu kwahiyo wafanyakazi walikuwa wanakuja wachache tena vijana tu, wale wengine walikuwa wanaenda huko kwenye hilo tukio. Kwa nafasi hiyo ya watu kuwa wachache akawa ananiletea utani flani hivi ambao ulianza kunistua na kuamsha hisia zangu.

Alikuwa ananiita na kuanza 'Joel, daah nimekumiss sana' akinambia hivo namchunia mara 'Joel, kwani mi huwezi kunioa? Nna kasoro gani?' au wakati mwingine anasema: 'Joel, I love you' au anaweza sema 'Joel, nakosa usingizi kwa ajili yako', sasa mie nilikuwa nachukulia utani ila nikaanza kuhisi labda anamaanisha ila anashindwa kusema siliasi.

Kingine kuna rafiki yake pale kazini aliwahi kumtuma aje aniambie kuwa ananitaka ila huyo rafiki ake utani mwingi so alinambia kiutani utani. Sasa sijui alikuwa siliasi kumtuma huyo rafiki yake au la?

Basi nikaanza mchakato wa kumfukuzia ili nimpate, shida ikaanzia hapo, nikimwita niongee nae faragha anakataa anasema 'njoo wewe' wakati anajua kuwa anapokaa yeye pale kazini wanakaa kibao so siwezi kuongea nae faragha. Nikimwita wakati wa kutoka anasema nna haraka nataka niondoke. Nikaona isiwe tabu ngoja nimuombe namba ili weekend niombe appointment sasa ikawa kila nikiomba appointment anakataa mara 'oooh nna kazi nyingi' basi jumamosi flani nikaamua nimpigie simu nimtongoze, nikamtongoza anakanambia namtania then simu akakata simu. Kesho jumapili nikampigia simu hakupokea nikamtumia sms hakujibu nikampigia tena mara kibao hakupokea. Nikaamua nimpotezee, Jumatatu anafika, akaanza tena shobo zake 'Joeeel, nimekumisi' nikamlia bati(nikamchunia).

Nilipoona anashobo sana na nimekula bati nikahisi labda anataka ila hataki kutongozwa kwenye simu, nikaaza kumwita tena faragha akawa anazingua. Akazingua hivyovyo mpaka umefika mda wa field kuisha akaondoka.

Sasa baada ya kuondoka nilimpigia simu akapokea mara moja tu ila akanambia hatuwezi kuongea yuko bize nikamwambia ntakupigia kesho. Kesho imefika hapokei simu wala hajibu sms mpaka leo hii.

Kiukweli ni mzuri sana tu, halafu mweupeee, chotara flani hivi la kiarabu, hiyo shepu ndo usiseme kwahiyo na mi nampenda. Ila sasa mpaka sa hivi hapokei simu wala hajibu text sasa wakuu hebu nishaurini nifanye nini ili apokee simu yangu maana mie nshaoza kwake Dah!

Natamani apokee simu niongee nae nimuombe date ila ndo hivyo hapokei, text ndo hajibu kabisaaa nimetuma karibia kumi. Sasa mie sitaki kumwacha naombeni mnishauri cha kufanya ili nimpate.

Ananiumiza sana kichwa aiseee, leo kutwa nzima namuwaza yeye.

Mnisamehe kama nimewakwaza kwa kuandika maneno mengi.

Nashkuru kwa ambao mtanishauri vizuri bila kunitukana au kunidhihaki.
Tunawapoteza marafiki zetu wa karibu kwa kuwafanya wapenzi broo unafeli mbona hivyo ni viyu vya kawaida huo utani tu demu anayekutaka seriuoz haaniki hisia kama mpunga wa ifakara
 
Habari za saa hizi wana jukwaa.

Kwanza nikiri kabisa, nimekuwa single kwa mda mrefu na hii ni kutokana na kukataliwa na waschana wengi niliokuwa nikiwatongoza. Baada ya hapo nikaamua kupotezea mchongo wa mahusiano so sikutaka kujihusisha kimahusiano na msichana yeyote.

Sasa juzi hapa kazini kwetu alikuja msichana fulani kufanya field ambapo wakati anaanza field mie nilikuwa likizo hivyo nilikuja kurudi kazini nikakuta kashakuwa mwenyeji na kashazoeana na watu hapa kazini.

Mara ya kwanza hatukuzoeana sana nae, hivyo zaidi ya salamu tulikuwa hatuzungumzi kitu ila ni mtu fulani muongeaji sana (yaani sana) kwahiyo alikuwa ananiongelesha mambo madogo madogo kama 'Joel mida ya kuondoka imefika, vipi bado upo?' sasa katika kuzungumza mambo madogo kama hayo akawa ameanza kunizoea hivyo akaanza kuniletea utani wa hapa na pale.

Sasa kuna kipindi pale kazini kulikuwa na tukio maalumu kwahiyo wafanyakazi walikuwa wanakuja wachache tena vijana tu, wale wengine walikuwa wanaenda huko kwenye hilo tukio. Kwa nafasi hiyo ya watu kuwa wachache akawa ananiletea utani flani hivi ambao ulianza kunistua na kuamsha hisia zangu.

Alikuwa ananiita na kuanza 'Joel, daah nimekumiss sana' akinambia hivo namchunia mara 'Joel, kwani mi huwezi kunioa? Nna kasoro gani?' au wakati mwingine anasema: 'Joel, I love you' au anaweza sema 'Joel, nakosa usingizi kwa ajili yako', sasa mie nilikuwa nachukulia utani ila nikaanza kuhisi labda anamaanisha ila anashindwa kusema siliasi.

Kingine kuna rafiki yake pale kazini aliwahi kumtuma aje aniambie kuwa ananitaka ila huyo rafiki ake utani mwingi so alinambia kiutani utani. Sasa sijui alikuwa siliasi kumtuma huyo rafiki yake au la?

Basi nikaanza mchakato wa kumfukuzia ili nimpate, shida ikaanzia hapo, nikimwita niongee nae faragha anakataa anasema 'njoo wewe' wakati anajua kuwa anapokaa yeye pale kazini wanakaa kibao so siwezi kuongea nae faragha. Nikimwita wakati wa kutoka anasema nna haraka nataka niondoke. Nikaona isiwe tabu ngoja nimuombe namba ili weekend niombe appointment sasa ikawa kila nikiomba appointment anakataa mara 'oooh nna kazi nyingi' basi jumamosi flani nikaamua nimpigie simu nimtongoze, nikamtongoza anakanambia namtania then simu akakata simu. Kesho jumapili nikampigia simu hakupokea nikamtumia sms hakujibu nikampigia tena mara kibao hakupokea. Nikaamua nimpotezee, Jumatatu anafika, akaanza tena shobo zake 'Joeeel, nimekumisi' nikamlia bati(nikamchunia).

Nilipoona anashobo sana na nimekula bati nikahisi labda anataka ila hataki kutongozwa kwenye simu, nikaaza kumwita tena faragha akawa anazingua. Akazingua hivyovyo mpaka umefika mda wa field kuisha akaondoka.

Sasa baada ya kuondoka nilimpigia simu akapokea mara moja tu ila akanambia hatuwezi kuongea yuko bize nikamwambia ntakupigia kesho. Kesho imefika hapokei simu wala hajibu sms mpaka leo hii.

Kiukweli ni mzuri sana tu, halafu mweupeee, chotara flani hivi la kiarabu, hiyo shepu ndo usiseme kwahiyo na mi nampenda. Ila sasa mpaka sa hivi hapokei simu wala hajibu text sasa wakuu hebu nishaurini nifanye nini ili apokee simu yangu maana mie nshaoza kwake Dah!

Natamani apokee simu niongee nae nimuombe date ila ndo hivyo hapokei, text ndo hajibu kabisaaa nimetuma karibia kumi. Sasa mie sitaki kumwacha naombeni mnishauri cha kufanya ili nimpate.

Ananiumiza sana kichwa aiseee, leo kutwa nzima namuwaza yeye.

Mnisamehe kama nimewakwaza kwa kuandika maneno mengi.

Nashkuru kwa ambao mtanishauri vizuri bila kunitukana au kunidhihaki.
Dah.!
Pole sana mkuu..inaonekana una gundu au huna mvuto kabisa kwa wasichana hivyo komaa kutafuta hela ukizipata mademu wote watakuita handsome hata kama una sura mbaya kama ya yule mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za saa hizi wana jukwaa.

Kwanza nikiri kabisa, nimekuwa single kwa mda mrefu na hii ni kutokana na kukataliwa na waschana wengi niliokuwa nikiwatongoza. Baada ya hapo nikaamua kupotezea mchongo wa mahusiano so sikutaka kujihusisha kimahusiano na msichana yeyote.

Sasa juzi hapa kazini kwetu alikuja msichana fulani kufanya field ambapo wakati anaanza field mie nilikuwa likizo hivyo nilikuja kurudi kazini nikakuta kashakuwa mwenyeji na kashazoeana na watu hapa kazini.

Mara ya kwanza hatukuzoeana sana nae, hivyo zaidi ya salamu tulikuwa hatuzungumzi kitu ila ni mtu fulani muongeaji sana (yaani sana) kwahiyo alikuwa ananiongelesha mambo madogo madogo kama 'Joel mida ya kuondoka imefika, vipi bado upo?' sasa katika kuzungumza mambo madogo kama hayo akawa ameanza kunizoea hivyo akaanza kuniletea utani wa hapa na pale.

Sasa kuna kipindi pale kazini kulikuwa na tukio maalumu kwahiyo wafanyakazi walikuwa wanakuja wachache tena vijana tu, wale wengine walikuwa wanaenda huko kwenye hilo tukio. Kwa nafasi hiyo ya watu kuwa wachache akawa ananiletea utani flani hivi ambao ulianza kunistua na kuamsha hisia zangu.

Alikuwa ananiita na kuanza 'Joel, daah nimekumiss sana' akinambia hivo namchunia mara 'Joel, kwani mi huwezi kunioa? Nna kasoro gani?' au wakati mwingine anasema: 'Joel, I love you' au anaweza sema 'Joel, nakosa usingizi kwa ajili yako', sasa mie nilikuwa nachukulia utani ila nikaanza kuhisi labda anamaanisha ila anashindwa kusema siliasi.

Kingine kuna rafiki yake pale kazini aliwahi kumtuma aje aniambie kuwa ananitaka ila huyo rafiki ake utani mwingi so alinambia kiutani utani. Sasa sijui alikuwa siliasi kumtuma huyo rafiki yake au la?

Basi nikaanza mchakato wa kumfukuzia ili nimpate, shida ikaanzia hapo, nikimwita niongee nae faragha anakataa anasema 'njoo wewe' wakati anajua kuwa anapokaa yeye pale kazini wanakaa kibao so siwezi kuongea nae faragha. Nikimwita wakati wa kutoka anasema nna haraka nataka niondoke. Nikaona isiwe tabu ngoja nimuombe namba ili weekend niombe appointment sasa ikawa kila nikiomba appointment anakataa mara 'oooh nna kazi nyingi' basi jumamosi flani nikaamua nimpigie simu nimtongoze, nikamtongoza anakanambia namtania then simu akakata simu. Kesho jumapili nikampigia simu hakupokea nikamtumia sms hakujibu nikampigia tena mara kibao hakupokea. Nikaamua nimpotezee, Jumatatu anafika, akaanza tena shobo zake 'Joeeel, nimekumisi' nikamlia bati(nikamchunia).

Nilipoona anashobo sana na nimekula bati nikahisi labda anataka ila hataki kutongozwa kwenye simu, nikaaza kumwita tena faragha akawa anazingua. Akazingua hivyovyo mpaka umefika mda wa field kuisha akaondoka.

Sasa baada ya kuondoka nilimpigia simu akapokea mara moja tu ila akanambia hatuwezi kuongea yuko bize nikamwambia ntakupigia kesho. Kesho imefika hapokei simu wala hajibu sms mpaka leo hii.

Kiukweli ni mzuri sana tu, halafu mweupeee, chotara flani hivi la kiarabu, hiyo shepu ndo usiseme kwahiyo na mi nampenda. Ila sasa mpaka sa hivi hapokei simu wala hajibu text sasa wakuu hebu nishaurini nifanye nini ili apokee simu yangu maana mie nshaoza kwake Dah!

Natamani apokee simu niongee nae nimuombe date ila ndo hivyo hapokei, text ndo hajibu kabisaaa nimetuma karibia kumi. Sasa mie sitaki kumwacha naombeni mnishauri cha kufanya ili nimpate.

Ananiumiza sana kichwa aiseee, leo kutwa nzima namuwaza yeye.

Mnisamehe kama nimewakwaza kwa kuandika maneno mengi.

Nashkuru kwa ambao mtanishauri vizuri bila kunitukana au kunidhihaki.
Hongera sana
 
Bila shaka sasa umeshamsahau na yale maumivu hayapo tena, na ukikumbuka ulivyokuwa unam-fell bc sasa hv utajiona ulikuwa fala sana
 
Back
Top Bottom