Jamani huyu ni nani?

Jamani huyu ni nani?

My Son drink water

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
4,932
Reaction score
13,306
Hii picha inanijia usingizini ikiwa na maneno,"Mene mene Tekeli na Peresi".
20210526_125059.jpg
 
Ally Kessy aka ally mabodi, Aliinyooshwa na AIDA KHENAN WA CHADEMA
 
Naimiss sana michango yake mjengoni.. He was funny
 
Huyu mzee alikuwa ni mmoja kati ya wapiga debe mahususi waliowekwa na mwendazake kumpigia debe ili angeongezewa muda wa mitano tena!!! Akapigwa knock out mapema hata kabla ya mwendazake kuondoka!!! Sasa anafanya biashara ya kuuza kambale huko Rukwa!!!
 
Back
Top Bottom