Jamani huyu sio Dokta Shika ni feki msibabaike naye ,Dk Shika original namfahamu.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Katika siku za hivi karibuni kuna picha ya kijana ambayo inaenea mtandaoni wakidai kuwa ni dk shika enzi zake alipokuwa angali kijana ,huu ni upotoshaji mkubwa sana tena mbaya zaidi umefanywa na watu ambao wanaaminika sana katika jamii .

Ukweli halisi huyu kijana anaitwa Phillip Mrisho na amesoma shule ya sekondari ya jitegemee iliyopo dar es salaam na wala si dk Shika kama umma ulivyoaminishwa na wala hawana udungu wa aina yoyote ile.











Hizi ni picha za Phillip Mrisho wala si dk Shika kama mlivyodanganywa na akina Soudybrown Instagram.
 
Tup
Weka za Dr Shika tuone, sio unakataa bila vigezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…