Jamani huyu sio Dokta Shika ni feki msibabaike naye ,Dk Shika original namfahamu.

Jamani huyu sio Dokta Shika ni feki msibabaike naye ,Dk Shika original namfahamu.

haha uzi wenyewe takataka nijazeje tena takataka aloo............... uzi pamoja na mleta uzi ni takataka
OK unaweza kwenda sijakutag wala kukuita shobo zako ndizo zilizo kuleta hapa , halafu usinizoee zoee kabisa yaani
 
OK unaweza kwenda sijakutag wala kukuita shobo zako ndizo zilizo kuleta hapa , halafu usinizoee zoee kabisa yaani
nikuzoee wwewe kama pesa ama nani? wacha kulewa halafu unakuja kupost upuuz hapa mwe mwenyewe mwehu mara 30 yako shubaaaaaamit
 
nikuzoee wwewe kama pesa ama nani? wacha kulewa halafu unakuja kupost upuuz hapa mwe mwenyewe mwehu mara 30 yako shubaaaaaamit
Ha ha ha ha ha

Alaaah kumbe naongea na mwehu

Halafu jishtukie basi .

Hivi ulishawahi kuona nimechangia Uzi wako wowote ule tangu unifahamu?

Halafu mi huwa naskia kinyaa kujibishana na takataka kama wewe aisee tafuta saizi yako ujibishane nao usitake upate kiki kupitia kwangu.
 
Katika siku za hivi karibuni kuna picha ya kijana ambayo inaenea mtandaoni wakidai kuwa ni dk shika enzi zake alipokuwa angali kijana ,huu ni upotoshaji mkubwa sana tena mbaya zaidi umefanywa na watu ambao wanaaminika sana katika jamii .

Ukweli halisi huyu kijana anaitwa Phillip Mrisho na amesoma shule ya sekondari ya jitegemee iliyopo dar es salaam na wala si dk Shika kama umma ulivyoaminishwa na wala hawana udungu wa aina yoyote ile.

View attachment 634218

View attachment 634219

View attachment 634220

View attachment 634221

View attachment 634222

View attachment 634223Hizi ni picha za Phillip Mrisho wala si dk Shika kama mlivyodanganywa na akina Soudybrown Instagram.

Lengo lenu nini hasa? Tusiendelee kupata burudani au? Hebu acheni ukuda mwisho wa mwaka huu tunahitaji burudani tena zaidi ya hizo
 
Dk. Shika alikuwa mpiga jala mitaa ya Kariakoo kabla ajaenda Moscow.
 
Back
Top Bottom