Jamani, ipi bora: Kuoa mke zaidi ya mmoja ama kuwa na mke mmoja na nyumba ndogo kibao!

Jamani, ipi bora: Kuoa mke zaidi ya mmoja ama kuwa na mke mmoja na nyumba ndogo kibao!

aaah hapo kuoa mke zaidi ya m1 ndio njema zaidi, i mean ukiwa na mwembamba na na mnene inakua safi.
Tamaa nyingine zinaletwa na mtu kuchoka na maumbile ya mkewe i.e mke ni mnene so jamaa anajikuta anataman wembamba! Or mke ni white xana inafikia muda jamaa anatamani black beauty! Mke zaidi ya mmoja ni Nafuu japo wadada wengi mtakataa
 
nyumba kubwa

Sawa kabisa.

quote_icon.png
By First Born
kuwa na nyumba ndogo ndo vizuri, hii itamfanya mke wako awe na daily fixed timetable ya game, lakini pia ni vizuri mke wako awe na taarifa ili na yeye atafute kidumu.



yaani hapo nyumba kubwa umeniacha hoi, ina maana wewe una entertain nyumba ndogo???
 
Muhali gani wana JF? Hope you are all fine! Nimekuwa nikitatizwa na suala moja jamani. Si mnajua kuwa ratio ya women to men ni zaidi ya moja, na imeamrishwa kuwa ni wajibu watu kuoana wakati ukifika ili kumpendeza Mungu? Sasa sasa kama inavyoelezwa kwenye kitabu kimoja wapo kuwa one man, one moman forever. Where will other women go?
Pia kuna tetesi kuwa watu wenye ndoa moja hawaishi kuwa na nyumba ndogo. Je kuna umuhimu wa kubadili utaratibu ili ndoa ya wake wengi iwe ruksa kama inavyoelezwa kwenye kitabu kimojawapo cha dini? Je kuna maana gana kama mtu anajiheshimu lakini bado ana nyumba ndogo pembeni? Kwa nini asihalalishe tu ili hata kama atapata watoto nje ya ndoa yake watambulike na wawe na haki sawa na wale wa nje ya ndoa?

msubiri Mungu aamue labda atatuma Agano jipya la sayansi, teknologia na utandawazi linalokuruhusu kuwa na wengi. "mmoja kakushinda kumi utawaweza?"
 
Back
Top Bottom